Jibu kwa Kazi si kwa maneno kuna nyimbo moja inaitwa taita - sugu ft bilnasUsiseme kapaniki, kama yule alikuwa free kusema vile basi hata Ali yupo sahihi kureact
Kazi gani? Kwanini huyo anaekaa kuwaongelea wanaume wenzake asitoe kazi yeye zikawa kama mfano?Jibu kwa Kazi si kwa maneno kuna nyimbo moja inaitwa taita - sugu ft bilnas
Kuna mstari ndani sugua anasema "walisema wife wangu mgumba sikuwajibu nikawajibu kwa mimba
Sahivi watoto wapo kwenye mjengo wanabadilishana tu vyumba"
Mmeanza wazee wa kukaririWatu wengi wana comment tuu, hawaeleweli haya mambo ya mikataba ya Taasisi za mabeberu, unakuta shareholders wengi upinde, Kibarua kinaota Nyasi ye Kiba Angejibu kwa matendo tuu, andaaa shoo, piga sana tizi, njoo perform live piga shoo Kali watu watajua tu ukweli ni upi.
Kwanini asitoe yeye huyo anaekaa kukosoa wanaume wenzake na akapige hizo show yeye watu waige mfano toka kwake?Watu wengi wana comment tuu, hawaeleweli haya mambo ya mikataba ya Taasisi za mabeberu, unakuta shareholders wengi upinde, Kibarua kinaota Nyasi ye Kiba Angejibu kwa matendo tuu, andaaa shoo, piga sana tizi, njoo perform live piga shoo Kali watu watajua tu ukweli ni upi.
Mtoto wa Tandale ameshazoea kitukanwa,kuongelewa vibaya na angekuwa anajibu sizani kama angefika alipokuwepo leo.Angekosolewa mtoto wa Tandale wala asingeangaika kujibu kabisa, kwasababu huwa ni sehemu ya maisha yake kimziki. Ila kwa kuwa kakosolewa mtu ambaye hapaswi kukosolewa, mfalme wa mziki wa bongo fleva, basi jamaa ameona Master J kamkosea heshima na kaamua amtukane kimtindo kabisa π€£π€£π€£.
Ndo kaitwa upinde sasaMaster yeye hajali wewe ni nani anakupasua tuu
Mj hajawahi na kamwe hatokuwa na akili kiduchu. Kwenye ulimwengu wa muziki, watu wa zamani kukosoa na kutoa maoni kwa wasanii wapya si kitu kipyaUtakuaje Mwanaharakati wa muziki wakati Una akili kiduchu na unaropoka .
Yaani mropokaji Kama huyo unamuita Activist ?
Kama Una namba yake mwambie aache wivu na chuki awaache vijana watengeneze hela .
Kila msanii ana ladha yake katika huu muziki.
Hata wewe ungekuwa judge sidhani harmonize yule ungemkubali. Na bongo star search sio shindano la biashara ya muziki ni shindano la VIPAKSA. Kwa hiyo inabidi uwe na kipaji kuingiaAsilimia kubwa ya wasanii anaowakataa BSS ndo hao wanakuja kufanya vizuri mfano harmonize , K2GA , N.K
SO MIMI NACHOONA ANAJARIBU KU-SPREAD NEGATIVE ENERGY SO ALIKIBA AMEMWAMBIA UKWELI THE GUY ANAZEEKA ILA AKILI INAZIDI KUWA KAMA YA MTOTO MDOGO ANAYEJIFUNZA KUONGEA
Watu wanamtetea sana Ila ukiangalia interviews zake na za Manager wake Seven. Utajua jamaa ana humbleness ya kipwani Ila ndani kaficha mengi sanaHaihitaji Bongo yaani pale ni simu kuyoka London ku-terminate contract! Ali Kiba ana shida hata alivyoondoka Trace Zanzibar ni scandalous!
Overrated producerMaster j ni overrated producer ambaye Ana low IQ
Hawa waropokaji mkiwavumilia wataendelea kuropoka na kuua brand za watu.
Msanii hafanyi biashara Ila yeye ndo hiyo biashara so unabidi usimuongelee vibaya kwa lengo la kuua brand yake.
So alichopewa ni sahihi
Hata wewe ungekuwa judge sidhani harmonize yule ungemkubali. Na bongo star search sio shindano la biashara ya muziki ni shindano la VIPAKSA. Kwa hiyo inabidi uwe na kipaji kuingia
Na BSS imetoa best vocalists wengi ambao si harmonize wala K2Ga wanaweza kaa nao level moja kimuziki.
Harmonize kapikwa kwa showzbiz na anaweza tengeneza mashairi na melodies Ila kwenye kuimba. Hawezi kukaa kwenye sentesi moja na Peter Msechu au Bella Kombo
Tatizo mnaongea kihisia, master anaongea vitu technical
Wote wamezingua ππΎππΎMs
Master Jay is negative person
Yawezekana alifanya mambo Makubwa katika muziki Ila anabidi kuwekeza katika #Positivity .
Kumkosoa mtu Kwa lengo la kumjenga sio mbaya Ila alichofanya juzi Kati kazingua .
Japo Alikiba amekosea kuongelea upinde Ila Master Jay kazingua kiufupi wote wameonesha immaturity
Ali kachagua toa wembe nitoe kisuToka Ali Kiba anaanza muziki walimuita mbana pua kama wasanii wengi tu wa bongo flava mwanzoni..
Japo master jay hakutakiwa kusema hayo lakini pia Ali Kiba amedhihirisha alivyo mweupe kichwani. Kwa msanii ambaye watu wanaona anajiheshimu, kutoa majibu ya kiswahili si sawa
Au wewe unaona sawa kumuhusianisha master jay na ushoga. Kwa nini asingemjibu kimuziki kama Master alivyofanya
Nijulishe mkuuAli kachagua toa wembe nitoe kisu
Sijui hata kama unajua msamiati wa kebehi wa kubana pua ulinzia wapi?
Ally ana nafuu kubwa kuwazidi hawa wengine kuimba live ashaimba live nikiwepo sema tu Bien ni kiboko jamani ,master J alitakiwa aongee kwa usawa anapenda mno kukosoa anakeraaAli Kiba sio mbovu kwenye kupeform live lakini sio kama ana sauti powerful kama ya Bien..
Nadhani master alichokosea ni kuongea kwa kumshusha Ali kiba kupita kiasi na Ali Kiba nae amejibu kiswahiliswahili na kwa jeuri kubwa ambayo huwa anaificha kwenye ukimya wake.