Jibu kwa Kazi si kwa maneno kuna nyimbo moja inaitwa taita - sugu ft bilnasUsiseme kapaniki, kama yule alikuwa free kusema vile basi hata Ali yupo sahihi kureact
Kuna mstari ndani sugua anasema "walisema wife wangu mgumba sikuwajibu nikawajibu kwa mimba
Sahivi watoto wapo kwenye mjengo wanabadilishana tu vyumba"