Baada ya matendo yake sina hisia nae tena, nifanyaje?

Yes machozi yanatoka sababu unaumia...ebu fikiria kila unachofanya mume anakurecord anatuma........unajiuliza ninakasoro gan mpaka kufanyiwa haya maumivu acheni tu
 
Unajikaza nini huku hupendi,si uondoke.
By the way tunauza mikaa na dawa za panya kwa bei ya jumla.
Hatutoi ushauri.
 
Yes machozi yanatoka sababu unaumia...ebu fikiria kila unachofanya mume anakurecord anatuma........unajiuliza ninakasoro gan mpaka kufanyiwa haya maumivu acheni tu
Basi jipende sana sana jipe kipao mbele..
Utaniambia!
 
Kama unaona huwezi kabisa kusamehe jiondokee, maisha ni mafupi sana kuendelea kukaa na mtu anaekukosesha amani.
 
Ndo nilichoka apo au jamaa didi😂
Inaonekana jamaa ndio zake, ni community p*nnis. Na dada inaonekana alijua mapema, bado akakimbilia ndoa, bora mume..sasa analia peke yake. Mpeni ushauri
 
Tunamiaka 6 ya kuishi kiukweli tumewekeza ninamiaka 38 kweli niondoke nikaanze wapi? hapo ndio nawaza tu
Usiondoke plz muda huu ni wakati wako wa ku enjoy ur self angalia v2 vitakavyo kupa raha mfano watoto wako Toka nao out pendelea v2 vitakavyo kupa amani ya moyo mdogo mdogo utakuwa sawa
 
Kama huwezi kusamehe ondoka,kwani umepigiliwa misumari hapo mbona unakuwa kinganganizi hivyo
Mkuu umekosea sana kushauri hivyo.

Hakuna popote, iwe mabaraza ya usuluhishi kwa 'mwenyekiti', ya kata ama mahakamani utasikia mtu anawashauri wanandoa 'ondoka' kwa urahisi namna hiyo.

Wadhani hiyo 'ondoka' mhusika haifahamu, kwa nini mpaka sasa yupo na wanaendelea na maisha?

Kwa nini anatafuta ushauri badala ya kujichukulia maamuzi?

Nadhani kwa kuwa sote tunaelekea kuwa ni wazee, yanapokuja kwako mashauri yahusuyo ndoa, yakupasa ureflex brain yako sawasawa, wanasema kukaza fuvu ili uweze kutoa maamuzi ama ushauri usioumiza ama kuegemea upande na kuonesha mapungufu yako.

Masuala ya ndoa hayatakiwi kushauri kwa kutumia malezo ya upande mmoja.

Huyo 'mtuhumiwa' ilitakiwa naye tumsikilize ndiyo tueweze kutoa ushauri wa maana.

Vinginevyo haiwezekani, ni kupoteza tu muda.
 
Inaonekana jamaa ndio zake, ni community p*nnis. Na dada inaonekana alijua mapema, bado akakimbilia ndoa, bora mume..sasa analia peke yake. Mpeni ushauri
At age ya 38 km alivyo sema mwenyewe sometimes ni ngumu kuwa nje ya game mana mawili abaki single mother wa kulea viben ten au akawe mchepuko wa mtu mwingine mwenye ndoa yake kitu ambacho kinaweza kuwa sio kizuri kwa USITAWI WA genye yake abaki apo apo 😂 Kwa mwanamke 38 upwiruuu ni mwingi
 
Pole sana. Punyeto siyo nzuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…