Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli anaogopa nini?Mbona sioni wa kumshinda unless wapinzani waungane.
Msajili angeadhibu moja kwa moja baada ya kumaliza kueleza sababu angesema kwa barua hii nawafutia usajili moja kwa moja
Mzalendo namba moja anaingia vipi? Wakati Zitto na mtoa mada ndio wamezua huu uongo.Jiwe hawezi siasa za ushindani. Hili huwa nakuambia kila siku.
Mzalendo namba moja anaingia vipi? Wakati Zitto na mtoa mada ndio wamezua huu uongo.
Maalim hanunuliki ww yule ni mtu muaminifu na wala siyo mtu tamaa wa pesa yule ni tajiri wa imani na huruma na muokozi wa wa zanzibarWatu walitakiwa wajue Maalimu aliongea nini na Magu walivyokutana Ikulu.ACT ni chama mkakati,ndio mana Kachero analilia kuungana aimalize kabisa Chadema ambayo walau imebakia na elements zaupinzani wa kweli,ila bado sijawa na imani ya hakika na Nyalandu
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Mambo ya kuhisi mimi huwa siamini. Ndio maana nachekaMzalendo academia ndio Sterling wa mchezo.
Na jinsi Zitto alivyopiga bao jana. Chadema ndio byebye.Mzalendo academia ndio Sterling wa mchezo.
Hebu Fikiria yule kiongozi wa umoja wa vijana wa CCM akihimiza kuwapiga wapinzani. Lakini kwenye hayo huwezi kumuona msajili akisema kitu.
Bado sijaamini kuwa ni nia ya dhati ya msajiri au bado ni sinema ya kihindi.Taharuki mpya imeibuka ndani ya chama cha ACT Wazalendo baada ya uwepo kwa uwezekano mkubwa wa chama hicho kufutwa na msajili wa vyama vya siasa....!
CCM itashinda ila idadi ya wapiga kura haiwezi kufika hata milioni 5 nchi nzima. Nani akapoteze muda kumchagua mtu akatajirike yeye na familia yake kwa kipato cha 14 milion kwa mwezi wakati mpiga kura familia yake ipo hoi kiuchumi, watoto wake hawana kazi wapo nyumbani. Hili mbona alihitaji hata uende darasa la kwanza ili un'gamue.Hawa haina haja yakuhangaika nao.. Katika kura milioni 19 zitazoenda kupigwa, kura za upinzani hazitazidi kura milioni moja.. Hivyo Magufuli ana uhakika wa kushinda kwa zaidi ya asilimia 90- A historic landslide victory since the creation of the World.
Hebu Fikiria yule kiongozi wa umoja wa vijana wa CCM akihimiza kuwapiga wapinzani. Lakini kwenye hayo huwezi kumuona msajili akisema kitu.