Hivi kwanini Serikali haijifunzi? Wanafikiria wakiifuta ACT wazalendo, wanacham wake watahamia ccm?
Hilo ni suala ambalo haliwezekani,watahamia chama kingime cha upinzani na upinzani uendelelee kwa kasi kama kawaida! Walikihujumu chama cha CUF kupitia Prof Lipumba,kwa mawazo yao walidhania ndio wamemaliza kazi, kumbe upinzani na wanachama wa CUF wapo ACT wazalendo, mkifuta ACT wazalendo watahamia chama kingine upinzani sio chama, ili mradi wananchi hawaridhishwi na yanayotendwa na CCM, watabakia wapinzani,wananchi wanataka haki na uhuru wa kujieleza!