Anachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
Hawa nao hawaoani sijui wana siri ganiBado master jay na shaa kuachana
Mimi mwenyewe nawashangaa...hata katoto jamani!!!Hawa nao hawaoani sijui wana siri gani
hahaaAnachonikwazaga huyu kaka ni kutokuzeeka.sijui anakula maharage ya wapi,nmezaliwa nimemkuta nakua hadi nazeeka Mzee baba yuko vilevile mnyamwezi wa watu. Pole yao
Hivi wapo bado??Bado master jay na shaa kuachana
Yes wapoHivi wapo bado??
Haahahaha ila mipango yake tayari imeshavurugikaSema 32 bado atapata bby mwingine tu
Time heals mzee baba,cassie ni mmoja wa wasanii ninae wapenda sanaCassie daahh alini bambaga sana na goma lake la LONG WAY TO GO.... duh !!, wameachana ..!! kweli muda ni HAKIMU