Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
Baada ya miaka 10 bila UCHUMBA wala NDOA Sean "Diddy" Combs,48, na Cassie,32, wameachana na kubaki marafiki,CASSIE amerudisha juhudi zake Ktk muziki na filamu, DIDDY ni baba wa watoto sita na january mwaka huu alisema alitaka kuwa na watoto wengine wawili na Cassie.