Baada ya miaka 39, Taifa Stars yafuzu kucheza michuano ya AFCON 2019 baada ya uicharaza Uganda goli 3-0, Uwanja wa Taifa-Dar

Hivi kwa akili yako unadhani stars wangefungwa kama Makonda asingeweka hayo maneno yake?
 
Haya mambo mengine tungetumia busara kwa kukaa kimya yangetusaidia maana safari bado ni ndefu.
Msuva, Samatta, Nyoni, Boco nk ni zaidi ya kamati na ni kuwaundermine kwa kusema kuwa walichokifanya ni kwa sababu ya hizi siasa. Haya tuelezeni na Mwakinyo ni kamati ya nani!?
 
Waliopata kutumia vinywaji kwa nusu punguzo watoe mrejesho ilikuwa wapi? au hapo big brain hakumaanisha?
 
JPM mwenyewe amesema alicheki mechi nyumbani kwake ksb alikuwa ana wasiwasi na timu. Japo alinishangaza jinsi anavyovaa akiwa nyumbani au kuna shamba ikulu? Wajuzi mtujuze?
 
Hata ungepewa wewe jukumu lile la kuhamasisha ungeshindwa?

Funzo kwa maccm Magufuli akiwa muungwana Taifa linaweza kusimama pamoja kama jana, aache kuwagawa Watanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na anaweza kuwaunganisha watu kupitia huu mpira, watz wanapenda sana soka.
 
Ingefungwa wangekuja na ngojera za oooh LAANA, mara mikono yao imejaa damu mara Mungu hadhihakiwi na porojo kibao.Ukisoma post zao kabla ya mechi utaona hawa jamaa ni wa kupuuzwa. Walikua wanashabikia Uganda na Lesotho, Mungu si mange kimanbe wameumbuka balaa .

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
Hiyo ni coincidence tu.
1-Kwa Taifa Stars ushindi wetu umetokana kwanza waganda wamesha-qualify hivyo hawakuwa na haja ya ushindi, pili hata kama tungemfunga Uganda magoli 10 na Lesotho angeshinda ingekuwa ushindi wetu ni wa bure tu.
2-Kuhusu Simba SC wa kupewa credit ni Mo Dewji ambaye anaigharamia club na kuhakikisha timu inafanya vizuri.
3-Hassan Mwakinyo kama alivyosema mweyewe ame-struggle kivyake mpaka amefika alipofika.
Tuache kutumia siasa katika michezo, usitake kuwafanya wanamichezo wote ni wanachama wa CCM, unaweza kufanya perfomance yao kuteremka.
Tumeona tu kamati ya uhamasishaji ya Taifa Stars ikiongozwa na baadhi watu wa CCM kuna watanzania walikuwa wakiiombea timu yetu ifungwe.
Kama tunavyosema tusichanganye dini na siasa, hivyo hivyo tusichanganye michezo na siasa.
 
Hivi ulichoandika umekifikira kwanza? Au ofa za Makonda zinaongea? Mbwa ww, Mbowe anahusikaje kwenye mada hii?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mbona UNATESEKA?Sifa zote ziende kwa Jpm hutaki kanywe sumu.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
JPM mwenyewe amesema alicheki mechi nyumbani kwake ksb alikuwa ana wasiwasi na timu. Japo alinishangaza jinsi anavyovaa akiwa nyumbani au kuna shamba ikulu? Wajuzi mtujuze?
Hahahahahah ile dressing code ni shida.

The problem with the world is that the intelligent people are full of doubts, while the stupid ones are full ofconfidence.
 
WACHEZAJI HAWAKUTAKA KUZITAPIKA TENA WANATAKA ZINGINE
 
Uchaguzi huwa unakuja na mengi.. Yaani ikifikia kipindi hiki tunashuhudia mengi sana. Ila mengi ni ya kuwatengenezea njia baadhi ya watu waendelee kuitafuna keki ya taifa pasi na shaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
A
lifunga magoli mangapi vile?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…