Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Siku hizi wala sipokei, namwambia hamna shida ujumbe umefika usipoteze kadi, itumike kwa mwingine, tuendelee kuombeana tutaona kitakachopatikana wakati ukifika. Hongera sana. Atajua mwenyewe kama atafuta jina au ampe mwingine kwa jina langu. Ila ikifika natoa kisichoniumiza.Me nadhani watakua washanichoka kwenye magroup ya michango sasa.. Maana napokea tu kadi ninapotupa hata sikumbuki