Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

Daaah,

Inakata stimu kwa kweli. Yaani hata mama sijamrushia muamala. Yaani hata kuhemea bado napotezea ili mshahara upoe kwanza.

Yaani hata hela haijampumzika kwenye akaunti. Yaani hata mwenyewe sijajipa pole na tulizo la nafsi.

Wenye maharusi tupumzisheni jamani, wekeni bajeti kulingana na uwezo wenu sio kutegemea mishahara yetu
Ni mambo ya HOVYOO mnoo...
 
Usihaidi kama huna uwezo wa kuchangia.
Watu wengi huwa wanachangia kwa manung'uniko kama wamelazimishwa yaani be strait
 
Daaah,

Inakata stimu kwa kweli. Yaani hata mama sijamrushia muamala. Yaani hata kuhemea bado napotezea ili mshahara upoe kwanza.

Yaani hata hela haijampumzika kwenye akaunti. Yaani hata mwenyewe sijajipa pole na tulizo la nafsi.

Wenye maharusi tupumzisheni jamani, wekeni bajeti kulingana na uwezo wenu sio kutegemea mishahara yetu
😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom