Siku hizi wala sipokei, namwambia hamna shida ujumbe umefika usipoteze kadi, itumike kwa mwingine, tuendelee kuombeana tutaona kitakachopatikana wakati ukifika. Hongera sana. Atajua mwenyewe kama atafuta jina au ampe mwingine kwa jina langu. Ila ikifika natoa kisichoniumiza.Me nadhani watakua washanichoka kwenye magroup ya michango sasa.. Maana napokea tu kadi ninapotupa hata sikumbuki
A debit mchango wa harusi, a credit mshahara, au sio?Kihasibu hiyo ni hasara.
Kwenye mambo ya kijamii kama haya,. Sio mbaya kuahidi ila iwe ndani ya uwezo,.Tujifunze kusema HAPANA. Wanaume tunalaani wanawake wasioweza kukataa anamvulia yoyote ila unakuta kwenye sekta yetu ni hivyo hivyo, huwezi kukataa ukasema "SICHANGI" unatoa miahadi inayokuumiza.
Mimi za watu ambao najua ni wakaribu na tunasaidiana kwa namna moja au nyingine napokea na ikibidi kuahidi naahidi iliyo ndani ya uwezo..Siku hizi wala sipokei, namwambia hamna shida ujumbe umefika usipoteze kadi, itumike kwa mwingine, tuendelee kuombeana tutaona kitakachopatikana wakati ukifika. Hongera sana. Atajua mwenyewe kama atafuta jina au ampe mwingine kwa jina langu. Ila ikifika natoa kisichoniumiza.
KabisaKama walijuchangia basi huna budi kufanya hivyo. Ule mchango ni deni.
Kama hawakuchanga na wala huna mpango huo hapo baadae ukioa, basi waambie tu ukweli.
Kuja kulalamika jukwaani wakati ungeweza tu kuandika 'Ndugu Mwanaharusi, acha hela yangu ipoe. Bado ni ya moto'.
Asili yake sifahamu mkuu,Asili ya hili neno ni wapi?
Walimletea mama na sio wewe kumbe..Ondoa 'vi bday party vya kichuochuo' sababu sijafika elimu ya chuo
Kadi zinaletwa, mara ya mwisho ni jana usiku tushafunga mlango mtu kaja kugonga katualika kwenye sherehe hela ya kijora ni 20k na kadi humohumo
Maza akataka kutoa nikamuita chobingo nikampiga mkwara kwamba atoe elfu 5k kama mchango hiyo 15k hamna kutoa kama kijora atavaa cha zamani ndani vipo vingi..!
Natoa kilicho ndani ya uwezo wangu
Maisha magumu..!
Nikue mara ngapi?Walimletea mama na sio wewe kumbe..
Ukikua utaelewa
Upo sawa, ila huwezi mchangia kila mtu. Kuna watu huna hata ukaribu nao, uliye na ukaribu nae hawezi kukuumiza ukimchangia.Kwenye mambo ya kijamii kama haya,. Sio mbaya kuahidi ila iwe ndani ya uwezo,.
Huwezi jua wewe utamchangia kwenye sheree yeye atakuchangia kwenye ugonjwa..
Maisha ni kushirikiana na kushirikishana
Bado hauko kwenye ile position unayotakiwa usimame wewe kama wewe binti,..Nikue mara ngapi?
Huo ni mfano wa jana
Ningetaka ya zamani ningekupa inayonihusu
Sina utoto huo mimi hadi uniambie nikikua nitaacha
Yeah manA debit mchango wa harusi, a credit mshahara, au sio?
Wewe uliyepo kwenye hiyo position Hongera!Bado hauko kwenye ile position unayotakiwa usimame wewe kama wewe binti,..
Anyways am sorry
Kanda ya ziwa ( Shinyanga,Tabora, Mwanza)Asili ya hili neno ni wapi?
Kama hao ndo wakuwakalia kimya,.. ila workmates na majirani na ndugu tunachangaUpo sawa, ila huwezi mchangia kila mtu. Kuna watu huna hata ukaribu nao pengine
Sasa mtu umesoma nae sekondari drs moja miaka imeenda amechelewa kuoa anaoa at 45 huko anakupigia mpaka akukumbushe weee ukishamkumbuka ndo akupe hiyo ajenda kuwa ana kadi yako.
Thanks,Wewe uliyepo kwenye hiyo position Hongera!
Kabisa, na wala haitakuumiza na usipochanga sababu huna unatafuta namna ya kushiriki, toa hata mishkaki 10 ile ya mia mbili mbili wakwe wale hiyo siku.Kama hao ndo wakuwakalia kimya,.. ila workmates na majirani na ndugu tunachanga
Hivyo yani🤝🤝Kabisa, na wala haitakuumiza na usipochanga sababu huna unatafuta namna ya kushiriki, toa hata mishkaki 10 ile ya mia mbili mbili wakwe wale hiyo siku.