Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

Ahadi Gani unatoka job Unakuta kadi3 za ufadhiri?
Mimi may hii
Ufadhiri wa kanisa kianzio200,000/=
Za harusi3 ndani ya mwezi mmoja na Moja ya hiyo ni akamati kianzio150,000 kama kamatiπŸ™†πŸ™†πŸ™†
Mtu hawezi kukupigia simu kudai mchango kama aukutoa ahadi

Ahadi ni de
 
Ni mambo ya HOVYOO mnoo...
 
Usihaidi kama huna uwezo wa kuchangia.
Watu wengi huwa wanachangia kwa manung'uniko kama wamelazimishwa yaani be strait
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Ushawahi kuletewa kadi ya mchango wa harusi au sherehe yoyote ile ya kuchangia??..
Achana na vi bday party vya kichuochuo au shuleni
πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒWanadai Tena ukitoa ahadi ndio utakoma mm walikuwa wananitumis sms Kila alhamiss πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…