Baada ya mshahara kutoka watu wenye harusi wameanza simu

KIHASIBU: HASARA YA KUTUMA MICHANGO KABLA KUMTUMIA HELA MAZERI
 
mkuu ulilazimishwa kuchukua kadi
 
Mimi Huwa nawaaambia wenye harusi hivi,miaka au mwaka alijipanga kuoa na hakuniambia. Imebaki miezi mi 3 halafu ndo anakuja kunishirikish. Nawaeleza Waziri kuwa nishabanga mapato na matumizi ya mwaka mzima. Hilo la kwake limekuja ghafla
 
  • Nmeshapokea kadi 4, nimeamua kuchangia 1; hao wengine nimewaambia SICHANGI, wamekunja sura, ila ndio msimamo ilivyo.
  • Utamaduni wa hovyo unaota mizizi kwa kasi kunufaisha wajanja wachache.
  • Wanaooana watumie gharama zao ili wanapofiria kutengana wakumbuke na gharama walizotumia. Kuna watu michango ya harusi wanalipia mahari, wanapata kuanzia maisha n.k hawana uchungu na ndoa
 
Ukitoka tuu mshahara, ujumbe wa kukamilisha ahadi ya mchango unaingia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…