Frustration
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 3,134
- 4,124
Anataka makofihahahaha, we jamaa phala sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka makofihahahaha, we jamaa phala sana
Magari haina thamani kuliko utu.mwanaume ndiye aliyetoa mahari
'mahari' ina thamani ndiyo maana 'mke' hupewi bureMagari haina thamani kuliko utu.
Ilitakiwa amueleze mapema kabla ya kuoa'mahari' ina thamani ndiyo maana 'mke' hupewi bure
uyo mke ana sababu zake zengine kabisa,Ilitakiwa amueleze mapema kabla ya kuoa
Jiweke kwenye nafasi ya mzazi wa huyo binti..utakavyojisikia ndivyo ivyo wengine watakavyojisikia..hakuna mzazi anaefurahia mtoto wake kufanyiwa au kuombwa kufanyiwa huo ushenzyy
Sawa brazaUnapojumuisha eti hakuna mzazi unayefurahia huo unaouita ushenzi, hakikisha pia hakuna mzazi anayeufanya.
Ila tamu balaaaaNi hatari sanaa ila ninachojua wanaume hawawafanyii wanawake wao wa Ndoa..[emoji3][emoji3][emoji3] Lakini huo ushetani hata jamaa angu flani kama bro tu nlisikia shem alimwambia bi mkubwa kisa cha kuachana ni hichooo...!! Ni moja ya Ulevi mbaya kabisaaa ukiacha Cocaine..kubet na sigara
[emoji3][emoji3][emoji3]Daah balaaIla tamu balaaaa
Na ukute mrembo tako lipo acha tuu[emoji3][emoji3][emoji3]Daah balaa
Kimbia mbio, hata vitabu vya dini vinakataa, anataka kuonajis ndoa yenu mapema namna hiyo, usipokimbia atatumia nguvu mdadaHabarini za Mda huu
Kuna mkasa nmeusikia wa nyumba ya jirani location nayokaa Dirisha langu ni kibarazani kwa jirani yangu Mmama mwenye familia na watoto na wadogo zake kadhaa.
Ila kubwa kabisa ni kuhusu mdogo wake wa kike aliyeolewa yapata mwezi mmoja uliopita na dereva bodaboda
Bidada ameamua kurudi kwa dada ake baada ya ndoa kumshinda anadai baada ya kuolewa tu mmewake akawa anataka ampe kinyume yaani ampatie Tigo bidada amekataa kutoa mmewe analazisha sababu hajamkuta bikra basi anataka atoe ya nyuma na yeye
Hilo suala nimeliskia nikashtuka kidogo nikahisi naota kusikuliza kwa makini ni kweli dada mtu kamshauri mdogo wake alifikishe kwa wazazi wa mwanaume.
Hivi kama mzazi unaletewa case mwanao anataka kumla nyuma mkewe utajisikiaje?