Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Oky wakuu hii ndio itakuwa episode ya mwisho nawashukuru wote waliokuwa baga kwa bega toka uzi unaanza mpaka sasa tumemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyoimalizia story naimani umetusikitisha wengi sana, pia tunashukuru kwa madini uliyotuletea maana tumejifunza mengi sana

Mungu akubariki utimize ndoto zako rafiki wa kweli 🙏
 

Attachments

Oky wakuu hii ndio itakuwa episode ya mwisho nawashukuru wote waliokuwa baga kwa bega toka uzi unaanza mpaka sasa tumemaliza

Sent using Jamii Forums mobile app
Why am I tearing up reading that. Jooohs, you have a lot of emotional maturity. As they say, maturity comes with experience not age.

Wewe ni rafiki wa kweli unajua maana ya urafiki wa kweli. Najua hata rafiki yako huko alipo anajua wewe ni rafiki wa kweli.

I sincerely hope you'd be able to keep that fire and enthusiasm.

Thank you for sharing that. Xoxo.
 
komaaa tu mkuuu kuuza bangi utatoboa wala usiwaze kudakwa
 
Dah! Hii story n tamu
Inafurahisha na inasikitisha, Agu ni rafiki yako wa kweli fanya uwezavyo angalau uwakumbuke wazazi wake

Pili kama alivyokusihi kwamba ENDELEA KUPAMBANA, hii kauli ifanyie kazi ili hata akitoka jela uweze kumpiga tafu.

Big up sana Jooohs, wewe ni mpambamaji haswa
 
Daah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwanangu jooohs jitahidi upambane kiasi kwamba agustino akija kutoka gerezani umpe mtaji japo wa 3m ajiendeleze atimize malengo yake.

Pili jitahidi uwe unaenda kumuona japo kila mwaka na umwambie kabisa kuwa unaendelea KUKOMAA Kama alivyokuasa kuwa MWANANGU ENDELEA KUKOMAA na kwamba siku akitoka una zawadi yake ( mtaji ) , hii itampa nguvu Sana jamaa huko gerezani

WANA JAMII FORUMS, TUSIFANYE MAKOSA TENA OCT 2020
 
Usiku nikaanza kuwaza eti mtoto wangu, kaenda kwa mganga, kapanda maharage, kaenda kuyachuma kakuta Ni mimi, akajisemea nimuue mama au niachane na utajiri? Basi nikashtuka nikaanza kuomba na kukemea hiyo roho ya kishirikina kwa wanangu
Mungu niepushe mimi maisha matamu hivi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio hivyo mkuu nasikia wanalima 24 hours

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama una malengo ya kufika mbali thamini sana muda nilicho jifunza magereza ni sehemu inayopoteza sana ndoto za watu.

Mimi kiukweli ni risk taker mkubwa lakini kwenye mambo ya msingi

Sitaki nguvu zangu zikaishie magereza nimekuwa mpole siwezi piga hata kifaranga cha kuku wa mtu

Nikiona polisi wanapita kulia mimi nageuza kushoto



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…