Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Hapana mkuu hiyo ilikuwa sio ndoto hayo yalikuwa mawazo ya ulichokuwa kuwa unakiwaza mchana.

Usiku inakuja kama ndoto lakini sio ndoto ya kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aminaa sana pyaar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Angemalizia kule porini na mama angekata roho
Vzr aliacha na kukimbia
Waganga watu wabaya sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jooohs

Je, Augustino alihukumiwa kwa kosa la kukutwa na bhangi au alibambikiziwa kesi ya ubakaji?

James Jason
Hapana sio kesi ya ubakaji.

Alikamatwa na madumu yaliyikuwa yamejazwa ndani unga wa bangi

Yaani ilikuwa imekatwa ikawa kama mchanga then ikajazwa kwenye madumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilichomkubalia Augustino, pamoja na kupenda sana mali

Alivyoona anaua wazazi wake sababu ya mali alighairi

Pia baada ya kukamatwa hakuwachoma masela wake, alikuwa msela nondo wa ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Aisee mkuu umenigusa sana, hii safari ya maisha huwezi jua kesho yako itakuaje.. nipo Mwanza, ningekua namfahamu ama details za Agustino ningeenda butimba pale kumcheki mshkaji nifikishe na salamu zako mkuu.. Wapambanaji sana nyie kaka, Mungu amlinde Agustino
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu swali la kwanza kuhusu zile damu mimi mwenyewe nilikuwa na muhisi agustino lakini mara ya kwanza nikijua atakuwa na tatizo kiafya hata alikuwa akivua shati nilikuwa najaribu kumchunguza, wakati mwingine nilikuwa nikimuuliza anasema anaziona lakini hajui zinapotoka, pia muda mwingine nilikuwa nikizikuta nikaondoka kurudi nikimuuliza anasema hajaona kitu yaani mambo haya ya ushirikina yanachanganya sana

siku nilipo muamini kuwa sio yeye niilesiku tumekuta damu zimetapakaa kuchumbani ikabidi tumuite mama mwenye nyumba ili tumueeleze chaajabu alipokuja sikuona wote hatukuziona

Pia hata wakati namwabia agustino acheki kile kimkono chini ya kitanda akaniambia haoni kitu.
Pia na wanakijiji walivyoingilia kati nikajua atakuwa ni yule yule mama maana wakati ameamia kwenye getto lingine sikuwahi shuhudia mauza uza kama yale

Swali la 2 yule mama hakumkimbiza Agustino siku ile agustino alirudi asubuhi akaniambia alikuwa zake njee usiku kugeuka akamkuta mama mwenye nyumba yuko nae zero distance ikabidi atimue mbio nikamuuliza au ni bangi zimekuchanganya

Pia hata mimi nilivyo eleza kwenye story yote kulitokea na matukio tofauti tofauti usiku nikawa na muona live kipindi hata naenda kuke kwenye muembe nikiwahi kumuona

Kuhusu agustino kusita sita kuondoka pale nadhani ilikuwa mazingira maana tulikuwa tunajitawala wenyewe pale chumba kilikuwepo pembeni yetu lakini kilikuwa hakina mtu

Swali la mwisho Mimi niliamin amini kuna nguvu za maganga zinatumika kwa kiasi kukubwa siku ile nimeenda kuchimba mbegu nikakuta geneza mauza uza mengine yalikuwa chanzo ni kule tulikotoka nadhani walikuwa wanatupima imani



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pamoja mkuu
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah JF imepoa kichizi yani...

Oya Jooohs hauna story nyingine kwani uhadithie?

Dah! Au kama vipi wana JF tuiombe serikali wamtoe mwanetu story iendelee[emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…