displayname
JF-Expert Member
- Feb 15, 2013
- 1,972
- 1,085
nikusarekebishe sio amalizie bali aniendeleze.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bado hujatuambia umeamua kuchukua njia gani baada ya ushirikina kushindwa!Oky wakuu hii ndio itakuwa episode ya mwisho nawashukuru wote waliokuwa baga kwa bega toka uzi unaanza mpaka sasa tumemaliza
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.
Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi
Nilitoka pale kwa babu nikijua agustino hakuuza mtu yoyote kwa polisi basi nikaanza kutembea kurudi shuleni kwa yale mavazi nilishindwa nitarudi vipi ikabidi nitafute sehemu nikae nitulie nione jinsi gani nitatunga hoja .
Nilikaa mahali nikawaza agustino hana ndugu mahali pale nikasema nitafanyaje niende hata kumuona kituoni nikakosa jibu maana na mimi nilikuwa na hofia usalama wangu nilimpigia tena ndugu yake yule nikamwambia awaambie wazazi wake hata na yeye pia aje kumuona maana haikuwa mbali sana
Nilimwambia pia aje niwaoneshe getto ikiwezekana wachukue vitu vyake vya muhimu wa mtunzie jamaa aliniambia yeye anatangulia kashamwambia baba yake atakuja kesho
Basi alivyofika nilienda kumpokea pale centre tukaenda hadi getto jamaa akajitambulisha kuwa nikakaake tukavunja kufuli tumeingia ndani tafuta vitu muhimu kama simu, kadi ya banki,walet vyote hakuna na baadhi ya vitu vingine sivikumbuki
Basi yule kaka yake japo wakuvuta na kamba kesho yake akasema nije nimpeleke kituoni tumpelekee msosi mimi nilikubali ila nikamwambia nitabaki mbali kabisa usikie maafande watakwambiaje.
Kweli kesho yake nilivunja vipindi nikamsindikiza Yule jamaa alivyorudi akaniambia walimuoji ikabidi awaambie yeye ni kaka yake alitokea wilaya nyingine kuja kumletea msosi, Jamaa aliulizia kama anaweza muwekea dhamana ya pale kituoni maafande walikataa wakasema tena jarada lake linapelekwa mahakama ya wilaya
Daa jamaa alichoka tulirudi nae hadi getto kesho yake tena tukaenda kumuona na yule jamaa ndio nikajua kweli bongo nyoso yani hawakupi nafasi ya kuongea na mtu ukishapeleka msosi unaonja askari wanachukua unatembea mbele huwezi ongea hata siri na mtuumiwa , Halafu kituoni kumbe hawapiki sasa nikawa najiuliza hivi waliokamatwa na hawana ndugu karibu huwa wanakula nini kabla hawajapelekwa magereza
Kiufupi agustino kesi yake ilipelekwa mahakama ya wilaya, tena alishitakiwa na jamuhuri kwa kosa la kukamatwa na zaidi ya kili 100 za bangi tena alikamatwa na ushahidi kabisa boda boda wake kwa kujitetea ikabidi amchomee kabisa alisimama kama shahidi wa mwisho
Kulingana na mapambano ya bangi kipindi kile bila huruma hakimu alimtundika miaka 30 jela. Nimechoka kutype
Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA
Na hapo nilikuwa nimetoka shuleni wilaya nyingine wakati natoka kwenye lile gereza nilijisikua huzuni sana kiasi kwamba nilijikuta na bubujikwa na machozi baada kama ya mwaka na nusu kupita nikiwa chuoni niliongea na yule kaka yake akaniambia agustino alihamishwa butimba mwanza
Kunakipindi niliona magufuli ameenda pale niliangaika sana kumtafuta agustino kwenye zile camera lakini sikufanikiwa kumuona rafiki yangu kipenzi now kamanda agustino amemaliza miaka 5 gerezani. kwa kifungo cha miaka 30 kwa jinsi wanavyo hesabu amebakiza miaka 15 gerezan
Mimi bado nikijana sana mwaka huu mwezi fulani na fikisha 24 yrs damu bado inachemka naendelea kupambana rafiki yangu mpambanaji agustino, kufa na kupona, kwa hali na mali nijipanue kiuchumii ili siku ukitoka gerezani husije kunicheka eti nilikuwa napoteza muda kitaa
Nataka uje unikute nimesha tengeneza bara bara nzuri ya kiuchumi uje tuishi maisha ya kidoni kama zilivyokuwa ndoto zako.
Nilichojifunza urafiki bora haupimwi kwa muda unapimwa kwa matendo maana niliishi na agustino katika kipindi kifupi sana lakini ameacha historia kubwa sana ndani ya maisha yangu
Nineandika kwa haraka vibaya vibaya kama kutakuwa na makosa tusameeane
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu tukio kama hili limewahi kumtokea ndugu yangu kabisa wa baba yangu mkubwa akiwa na rafiki yake, walianzia kwa mganga ili kupata utajiri wakafuata masharti yote kabisa na sharti la mwisho wakapewa kamba za katani na kuambiwa waende nje kidogo ya kijiji (ni jirani na mbuga ya serengeti) watawakuta ngo'mbe wawafunge na zile kamba na kuwaleta kwa mganga baada ya hapo pesa itakuw ni ya kumwaga. Walipofika pale walichokiona kwanza ni vumbi linatimka na muda si mrefu Nyati wawili walioshiba wako vichwa chini spidi 240 km/h. Ndugu yangu anasema mbio alizotimka siku hiyo si za dunia hii. Hii si hadithi na mimi si muumini wa mambo hayo lakini tulikuwa tunajua katumwa kwenda kuleta ng'ombe na mganga na miaka ile mgodi wa Nyamongo (sasa North Mara) ulikuwa chini ya wenyeji na mambo ya ushirikina yalikuwa mengi sana.Hapana mkuu sio ubakaji ni hilo hilo la bangi sema tu sikutaka kufunguka saana kuhusiana na agustino. Nilikuwa na elezea maisha yangu binafsi
Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba mkuu[emoji1787]Duh labda Jooh kajikuta kwenye ule mwembe na simu haiwaki!!![emoji32], mida hii huwa tushakutana na "oooooky inaendelea....."
[emoji2][emoji2]Mama mwenye nyumba!Tunaomba wajihi wake,maana mtaani hapa kuna mama anasadikika ni witch ila "mzigo" wake looh,nikikutana nae night na manyanga yake nakuwa na roho ya jooh na mbegu zake,namg'oa[emoji2][emoji2]
Ila mkuu inaonekana huyo mganga alikuwa kiboko haswaa.Mkuu swali la kwanza kuhusu zile damu mimi mwenyewe nilikuwa na muhisi agustino lakini mara ya kwanza nikijua atakuwa na tatizo kiafya hata alikuwa akivua shati nilikuwa najaribu kumchunguza, wakati mwingine nilikuwa nikimuuliza anasema anaziona lakini hajui zinapotoka, pia muda mwingine nilikuwa nikizikuta nikaondoka kurudi nikimuuliza anasema hajaona kitu yaani mambo haya ya ushirikina yanachanganya sana
siku nilipo muamini kuwa sio yeye niilesiku tumekuta damu zimetapakaa kuchumbani ikabidi tumuite mama mwenye nyumba ili tumueeleze chaajabu alipokuja sikuona wote hatukuziona
Pia hata wakati namwabia agustino acheki kile kimkono chini ya kitanda akaniambia haoni kitu.
Pia na wanakijiji walivyoingilia kati nikajua atakuwa ni yule yule mama maana wakati ameamia kwenye getto lingine sikuwahi shuhudia mauza uza kama yale
Swali la 2 yule mama hakumkimbiza Agustino siku ile agustino alirudi asubuhi akaniambia alikuwa zake njee usiku kugeuka akamkuta mama mwenye nyumba yuko nae zero distance ikabidi atimue mbio nikamuuliza au ni bangi zimekuchanganya
Pia hata mimi nilivyo eleza kwenye story yote kulitokea na matukio tofauti tofauti usiku nikawa na muona live kipindi hata naenda kuke kwenye muembe nikiwahi kumuona
Kuhusu agustino kusita sita kuondoka pale nadhani ilikuwa mazingira maana tulikuwa tunajitawala wenyewe pale chumba kilikuwepo pembeni yetu lakini kilikuwa hakina mtu
Swali la mwisho Mimi niliamin amini kuna nguvu za maganga zinatumika kwa kiasi kukubwa siku ile nimeenda kuchimba mbegu nikakuta geneza mauza uza mengine yalikuwa chanzo ni kule tulikotoka nadhani walikuwa wanatupima imani
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]sema mganga kazingua sasa angewapa hata nusu hasara..Ila mkuu inaonekana huyo mganga alikuwa kiboko haswaa.
Hawaamini.kwahiyo kama kuna nyumba inatiliwa mashaka na wakaazi wa eneo husika haiachwi .inavamiwa kukaguliwa na jeshi la polisi bila kujali ina majini au lah!
Ambaye anaweza kunipa kifupisho cha hili swala anionee imani anipe. Naona mnauliza habari za Augustine kua gerezani lakini mi nipo page ya 26 na zipo zaidi ya 50.
msaada wakuu.
Daaah mapambano umeanza zamani..Mungu akakuinue tu
Mkuu mbona huku uliandika jamaa alifungwa kwa kubaka,afu huku amefungwa kwa bangi au ni watu wawili tofautiMkuu wazo lako ni zuri sana
Ila kwa haya nilio yazungumza hapa kama kuna baharia
Atajipeleka kwa mganga kusaka pesa yaani omba ukakutana na mganga uchwara maana atakuibia pesa lakini sio nafsi
Lakini usikutane na wale wanaoiweza kazi kama unaroho ya panzi cha moto utakipata
Sent using Jamii Forums mobile app
Habari, ulifatilia ile stori ya zabroni, unakitabu chakeYaaani ungesimulia sitosahau rfa show, ungefunga mwezi kwa hii show ya kibabe
Huku kasema jamaa alibk kwa stori hapa anasema alikutwa na kitu cha arusha
Huku kasema jamaa alibk kwa stori hapa anasema alikutwa na kitu cha arushaView attachment 1415605
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unajua unachekesha sanaHuyu jamaa naona ni mtunzi wa stori make kuna nyuzi zake nyingi sanaaa