Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Sure jamaa nimewaelewa sana...
 
Kipi kimefanya usiamini kuwa ni kweli?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu usipotoshe jamii

Hapo uzi wangu ni huo wakwanza pekee

Hizo nyingine sijui hata umetoa wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapana mkuu sio ubakaji ni hilo hilo la bangi sema tu sikutaka kufunguka saana kuhusiana na agustino. Nilikuwa na elezea maisha yangu binafsi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

ukileta picha hizo na video ni tag shekhe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…