Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Mkuu@jooohs tupe vitu mkuu

House girl(dada wa kazi) Ni binadamu aheshimiwe, apumzike, apewe Uhuru wa kuabudu pia
 
Heading inasanifu hitimisho

Katika maisha watu wanafight sana na maisha ila hola

Kuna maumivu mengi sana katika utafutaji ndo maana huwa ninakanuni ya kuheshimu cha mtu

Maisha yamejaa uchaguzi , ndo maana nikikuta mdada kaamua kutunisha makalio ili aishi mjini kwa kuwa mdangaji- siku hizi nimeacha kabisaa kucoment hisia zangu na kuheshimu maamzi yake

Kwa umbambanani huu haishangazi kuona watu wengine wanaishi peponi uku wengine wanaishi jehanamu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…