Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Baada ya njia za giza kugonga mwamba kwenye kusaka utajiri, nimeamua kufanya hivi

Jitahidi uweke link mkuu,tupate somo
dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.

ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.

Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.

Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.

Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.

Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.

lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama

picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Si story yangu ni ya member humu anaitwa @jerrybanks
dah nmesoma sana ngoja na mimi ntoe kisa kilichosababisha niape kuwa sitakwenda kwa mganga tena kwenye maisha yangu.

ilikuwa 2002,tunatoka dar tunakwenda mkoa wa kigoma kwa wanojua bara bara enzi hizo wanajua ni jinsi gani kulikuwa na majambazi hasa ndani ya mapori ya Tabora,bahati haikuwa yetu mida ya saa 5 usiku wakati tupo road tukakuta bara bara imewekwa bonge la gogo mzee akataka kujitahid aligeuze ghafla walitokea watu wamebeba bunduki ndo kwa mara yangu ya kwanza kuone mtu kashka bunduki huku kajizungushia mkanda wa risasi mwilini bro wangu ile kuwaona tu akakata moto tuliokuwa hatujazmia tulikuwa watatu 3 mimi mzee na bimkubwa.

Tulichezea sana vitasa mzee alidhalilika mno mwisho wa siku walichukua mpka viatu nakumbuka viatu vyangu vya kitoto vya kuwaka taa,then wakaondoka mpka na gari tulikaa pale mpka saa 11 ndo tukapata msaada tukaenda polisi but hawakuwa na msaada mzee akapiga simu kigoma ikatumwa nauli tukaenda moja kwa moja mpka kwa baba yake(means babu),sasa babu yeye kila alivyokuwa anahadithiwa alikuwa anacheka mno hasa akimuangalia bro na ujanja wake ote et kazimia,upande wa baba yeye alikuwa na hasira mno alichokuwa anataka yeye ni wale watu awashikishe adabu hata kufa wafe basi ilivyofika usiku tukaelekea sehemu fulani inaitwa ujiji kwa mzee fulani alikuwa anaitwa juma njemba.

Nadhani kwa watu wa kigoma wanaweza kuwa wanamjua,akaelezewa kila kitu akasema hicho ni kitu kidogo sana,huku na yeye anacheka kisha akasema kuwa pale kwake kuna mbuzi alimchinja sababu ya sherwhe ya mwanae hvyo itatubidi tumtafutie mbuzi mwengne amreplace ili iwe kama malipo yake baba akakubali,kilichofata akawaita wajukuu zake walete (ubumba) ni udongo fulani hivi wa mfinyanzi kisha akawa anatengeneza kimdoli kidogo cha udongo kama vile vya kitoto toto,baada ya kukitengeneza akaanza kukiandika maneno yake kisha akakisimamisha chini,then akaanza kuongea maneno yake aliongea sana baada kama ya saa 1 akasema mtu yoyote ndani ya hichi chumba haruhusiwi kukimbia wala kupiga kelele kwani kwa kufanya hivyo ndo itakuwa kifo chake.

Basi aliendele kusema maneno yake ghafla yule mdoli pole pole alianza kukua na kuwa mkubwa pole pole,baada kama ya dakika arobaini alikuwa ni mkubwa kama binadamu mwenye mwili mkubwa alikuwa anamkono na kifua kikubwa na mrefu,kwa mara ya pili bro tena akazimia kwa mara ya pili mim mkojo ulishantoka natetemeka kama nmepatwa na dege dege,mwisho yule mdoli akaambiwa shtaka letu kisha akaambiwa nenda hivi vitu vinatakiwa leo leo,theb yule mtu akafungua mlango akatoka mbio alikuwa ni mwanaume lakini yupo uchi na ni mweusi tii kama mkaa mpka macho hakuwa na ichi kiini cheupe ye alikuwa na kiini cha moja kwa moja cha weusi,alivyoondoka tukaanza kumpepea na kumwagia maji bro alivyoshtuka yule mzee akatuambia kazi imeshakwisha kesho mtayapata majibu yenu.

Ilivyofika asubuhi tukapigiwa simu nakumbuka enzi hizo kulikuwa kuna buzz siyo hii tigo na hata simu zilikuwa za mezani,tukaambiwa kuwa kuna gari imepatikana Tabora yenye namba kama tuliyoripoti pamoja na vitu vingine,tukaanza safari na treni mpka tabora kufika kule tukakuta vitu vyetu na vingne vingi tu ila mzee alisema vyote vilikuwa vyetu hela zilikuwa kama 1m lakini zilipatikana 7m polisi hawakuchukua hata cent na hata walivyopewa walikataa kata kata hakikupotea hata kifungo kisha baada ya kuchukua tukaambiwa kuwa hao majambazi waliotuibia walikutwa msituni wakiwa wameuwawa wakasema wanahisi ni wanyama wakali ndo waliwauwa maana walikuwa wanaalama za meno makali milini mwao na kucha.

lakini wakashndwa kuelewa kama ni wanyama ndo waliwashambulia ni wanyama aina gani na kwanini hawakuwapiga hata risasi moja hao wanyama na wakati walikuwa na silaha nzito?Baada ya maelezo mengi mzee akawasha gari mpka kigoma stend ya kwanza mpka kwa yule mganga tulinunua mbuzi na zawadi nyingne nying lakini mzee aligoma hakutaka chochote zaidi ya mbuzi tu,basi tukampka mbuzi wake, akasema imebaki kazi moja tu na kazi yenyewe ni kumrudisha yule kiumbe(mdoli mtu)ili asitudhuru na sisi maana ni wetu hapo mdipo ilipokuwa mtihani maana kuna msharti mengi tulikosea plus kujisahau sasa akawa anatuandama sisi atuue dah kila mmoja nyumbani anaalama ya yule kiumbe yangu ni kungatwa skio na kula kipande nikipata mda ntawamalizia kisa changu but mpka leo mimi kwenda kwa waganga ni big no,but thanks god tulitoka salama

picha ya nilipongatwa kwenye skio ambyo ni alama ambayo sitaweza isahau mpka kifo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Oooky Inaendelea.........

Wakati bado naendelea kuugulia maumivu pale hostel nikacheki muda nikaona inaelekea saa 11 alfajiri nikatoka njee moja kwa moja nikaanza kuitafuta barabara kuu ili niweze kuwahi getto kwa agustino, njiani nilikuwa namawazo mengi kama mtu anaeenda kufata majibu ya HIV test basi nikaanza kupiga tambo kubwa kubwa hadi nikaanza kuona lile getto kwa mbali

Basi njiani nikawa najiuliza hivi nikapiga simu nikutana na kilio nitafanyaje? jee utajiri nitaupata au ndio itakuwa imekula kwangu nimekosa vyote baasi taratibu nikakaribia ile nyumba nikaanza kuusogelea ule mlango nikakuta umefungwa kwa njee basi nikafungua nikaingia ndani lakini niliona kama jamaa yangu agustino atakuwa hajarudi maana kila kitu tulichokiacha pale kuanzia simu ,Walet vilikuwa mezani

Basi nikawasha simu yangu huku nikiwa natetemeka sana nikaanza kutafuta jina la mama yangu ili nimpigiie simu bahati mbaya nilijibiwa mteja unaemtafuta hapatikani, kuna jirani ni msela wangu ikabidi nimpigie ila simu ilikuwa inaita
haipokelewi basi nikajaribu kutafuta baadhi ya ndugu nao wakipiga wanasema simu haipatikani daa nikaanza kuchanganyikiwa.

Basi wakati nimekaa pale nisijue la kufanya mara nikasikia simu yangu inaita asee niliirukia fasta utadhani kinyonga yuko mawindoni kushika nikakuta ni yule jamaa wa kitaa wakati huo simu ilikuwa inanipigia mlio wa batter low kila muda ,baada ya kupokea akaniambia nipige ikabidi nikate nikampigia kisha akaniambia shida nini asubuhi yote hii nikamwabia nenda fasta home unipe mama niongee nae kunajambo nataka kumueleza

Basi baada ya muda kama dakika kadhaa nikaanza kumpigia jamaa simu mfululizo huku nikimuuliza umefika umefika , baada ya muda kidogo ikaingia message kutoka kwa jamaa akaniambia nimefika ila nimekuta kuna tatizo asee nimemaliza kusoma tu ule ujumbe nilikuwa nimekaa kitandani ikabidi nijidondoshe pale chini nianze kujigaragaza huku nikipiga nduru za kufa mtu.

Nimelia weee hadi nikasikia mtu anagonga kwenye ule mlango kwa njee nikaamka kinyoge huku nikifuta machozi nikaenda kufungua mlango.

Nilipofungua nikakutana na mama mwenye nyumba uso kwa uso akaniambia kunataizo nikamwabia ndio ni mambo tu yakifamilia yataisha basi ikabidi nirudi ndani nikahisi joto linaongezeka nikavua suruali nikabaki na boksa na viatu tu miguuni .tshirt nikavua nikalala chali pale sakafuni nikachukua simu nikaanza tena kupiga kwa yule jamaa

Ile imetoa mlio wa kwanza wa pili ikazima nikatoa line nikaweka kwenye simu ya agustino kuwasha hata haikufika kuwaka ikazima jumla jumla hasira zikanipanda nikatamani hata nikate kichwa changu nitoke njee nikipige teke kiruke huko maana mawazo yalikuwa yamenizidi

Wakati nimendelea kuwaza pale chini nikasikia mlangoni kama mtu anagonga kwa njee nikaenda kufungua nikakuta ni agustino nikamwabia ulikuwa wapi toka jana akanimbia nilikuwa kule kule uliponiacha nikienda kwanza ni story ndefu

Basi akaanza kunieleza wakati tumeachana jana usiku yeye akielekea kwenye lile chaka lake kuchimba yale maharage kwa nyuma alianza kuona watu kama wanamfatilia yeye akajua ni yale majaribu yameanza kama yule jamaa aliyokuwa amemwambia alipata hofu kidogo lakini yeye aliendelea na safari yake baada ya kutembea kidogo kugeuka tena akaona wanazidi kumfatilia akasema akaanza kukimbia

Alikimbia sana hadi alipoangalia nyuma akaona hali ni Shwari sasa anasema alipofika kwenye eneo la tukio ndio akaanza kuona vitu vya ajabu kwani alipofika alitafuta mbegu bila mafaniko yoyote anasema alitafuta piga tochi huku na huku lakini hakuona kitu chochote basi akaniambia ikabidi alale pale chini huku akiendelea kutafakari

Baada kama ya dakika moja akashituka na kujikuta yuko pale pale barabarani tulipo achania halafu akawaona wale watu waliokuwa wanamfatilia bado wamesimama kwa mbali ilibidi aanze tena safari ya kuelekea kule ili haweze kuchuma mbegu kwani alijua ile ni ndoto aliniambia alitembea akatembea sana
mpaka kufika pale

Badala ya tafuta mbegu akakuta kunamiili ya watu wawili wako kama walivyozalia wamelala chali halafu majani makubwa ya miharage imeota juu ya vufua vyao akasema yeye alijua ni majaribu ya kijinga ikabidi asogee hivyo hivyo

Wakati anazidi kusogea alisikia kama kuna mtu anapiga hatua kutoka nyuma yake ndipo akaanza kumcharaza viboko vya kufa mtu mgongoni yeye hakujali ndipo akazidi kupiga hatua haraka haraka kuelekea kwenye ile miili huku akiendelea kupigwa bakola basi ile amefika karibu akashika yale majani mkono wa kulia na wakushoto akaanza kuvuta bila mafaniko alivuta sana sana lakini ikashindikana

Wakati huo ananiambia anazidi pigwa viboko ikabidi azidi kukomaa ile bado anaendele alishangaa kuona macho ya wale watu yanafunguka kuangalia vizuri anaona ni wazazi wake wakati huo hajafanikiwa kutoa zile mbegu basi kwa mshituko alioupata ikabidi akimbie kurudi getto alifanikiwa kufika ikabidi alale lakini cha ajabu kumekucha yuko ile ile sehemu aliyokuwa anafanyia tukio ndio ikabidi aanze tena safari upya kuja hapa nikamwabia lakini unauhakika kwamba wazazi wako ni wazima? Akaniambia hajui ikabidi na mimi nimueleze yalio nikuta

Nikamwabia tupeleke simi zipate moto halafu tupeleleze tujue maana mimi nilikuwa najua mama yangu tayari yamesha mkuta ya kumkuta basi tulitoka pale getto nikamwabia agustino mimi sasa hizo habari za mganga sizitaki kwa kweli
bora tutafute njia nyingine tuone tunafanyaje ikabidi anikubalie kwa shingo upande.

Baada ya kuacha simu kibandani ikabidi twende kwenye kimgahawa wakati tunakula kunajamaa alikuwa yuko pembeni yetu amechoka kweli anapiga story kwa kilugha ila tukaona kama anamtaja jina mama mwenye nyumba halafu wanatukodolea macho sisi ila hatukuelewa kitu chochote tuliondoka tukarudi getto ile tumefungua mlango tukakuta matone ya damu kama kuku ka katwa kichwa halafu akaachwa anaruka ruka mule ndani

Ikabidi agustino atoke njee akamuita mama mwenye nyumba yule mama kufika anasema eti haoni kiti na sisi kutaza vizuri tunaona nyumba iko safi

Wakati tunaendelea kujadiliana ile inama inuka kuangalia chemba nikaona kiganja cha mkono wa mtoto mdogo asee nikamwabia agustino tazama pale chini ananiambia wapi nambwambia angalia mkono ule anasema haoni ikabidi nizame ndani ya kitanda kwanda kushika chaa ajabu kile kimkono kikapotea

Nikamwabia bro leo nikitoka kuchukua simu sirudi tena getto hapa narudi zangu hosteli,nikamwabia tafuta chumba sehemu nyingine hatukumaliza muda mwingi tukarudi kufata simu kupiga kwa jamaa yangu akaniambia eti mama yako jana usiku saa saba alivamiwa na wezi akapigwa nusu afe yuko hospital kalazwa asee nikisikitika sana nilijua mimi ndio chanzo.

Hapo ndio nikajua kumbe walozi wengi wanaweza tengeneza tatizo wanavyotaka hata kusingizia mtu mauaji kichawi ili tu watimize malengo yao ,Agustino alipiga kwao lakini baba yake akamwabia leo nimekuota ndotoni pia leo leo umenipigia simu.

Nadhani ni mzazi alishindwa mwambia mwanae kuwa nimekuota vibaya siku hiyo hiyo nilienda pale nikachukua kila kilichochangu nikasepa kurudi shuleni, Agustino yale mauza uza yalimshinda ikabidi ahame ile nyumba ya yule mama wa kisukuma ilikuja kupigwa moto na raia wenye hasira kali wakimtuhumu kuwa anafuga watu ambao ni mabubu hawaongei

Kisha nikasikia story raia wanasema eti alikuwa anatumia viganja vya mikono ya watu kuwafanya raia ma bubu hata zile damu mule getto ilikuwa inatokana na miili ya vichanga .Kile kiganja akichukua sijui anafanya nini akikupiga nacho kofi hutoweza kuongea tena labda uzaliwe upya

Sasa wakati nimerudi naendelea na masomo agustino yeye aliendelea kusoma huku akiwa anapiga zile mishe zake za kusafirisha bangi kwa urafiki na mambo tuliyokua tumepitia nilikuwa nae bega kwa bega kumsindikiza kupeleka mzigo kwa wauzaji hata mzigo ukifika nilikuwa naenda kumpokea

Lakini siku za agustino kumbe zilikuwa zinahesabika tu mungu wangu..wahuni walikuwa wanamlia gepu kwamba anaharibu biashara yao huku yeye ni dogo tu wakuja
aise

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi joohs ,agustino alivyokuwa amezima huku ww unapambana na lile limnyama hakuwa anasikia njaa ? Yani usingeenda kulitupa lile limnyama je? Asingezinduka na kuonekana?

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
Hivi joohs ,agustino alivyokuwa amezima huku ww unapambana na lile limnyama hakuwa anasikia njaa ? Yani usingeenda kulitupa lile limnyama je? Asingezinduka na kuonekana?

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
Hapo kwa kweli hata mimi sina majibu nini kingetokea

Maana hivyo ndio jinsi ilivyokuwa.

Pia mimi nimejitahidi sana kumuelezea agustino kwa jinsi nilivyoweza weza kwani nilikuwa tu kama rafiki

Lakini naimani kama yeye angepata nafasi asimulie naimani jamaa alikuwa na vitu vingi moyoni pengine sikubahatika kuvifahamu

Hata sekeseke la jinsi alivyokamatwa akirudi yeye ndio atanipa story vizuri maana mahakaman walikuwa wanapiga tarehe hata siku ya hukumu nilikuwa nimeshakuja mjini kuendelea na masomo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Baada ya kufuta lile tope mdogo mdogo nikaanza kupandisha kimpando cha kuelekea kwa babu nikafika pale nikazuga kama nimeenda kuomba ganja akaanza kusema asubuhi yote umekuja kufanya nini nikamwambia nimekuja kufata dawa.
Akaniambia yamebaki makapi , kisha akaniuliza yule mwenzako agustino mzigo amesha leta nikasema hapana.

Ikabidi aingie ndani aniletee yaleyale makapi

Nilitoka pale kwa babu nikijua agustino hakuuza mtu yoyote kwa polisi basi nikaanza kutembea kurudi shuleni kwa yale mavazi nilishindwa nitarudi vipi ikabidi nitafute sehemu nikae nitulie nione jinsi gani nitatunga hoja .


Nilikaa mahali nikawaza agustino hana ndugu mahali pale nikasema nitafanyaje niende hata kumuona kituoni nikakosa jibu maana na mimi nilikuwa na hofia usalama wangu nilimpigia tena ndugu yake yule nikamwambia awaambie wazazi wake hata na yeye pia aje kumuona maana haikuwa mbali sana

Nilimwambia pia aje niwaoneshe getto ikiwezekana wachukue vitu vyake vya muhimu wa mtunzie jamaa aliniambia yeye anatangulia kashamwambia baba yake atakuja kesho

Basi alivyofika nilienda kumpokea pale centre tukaenda hadi getto jamaa akajitambulisha kuwa nikakaake tukavunja kufuli tumeingia ndani tafuta vitu muhimu kama simu, kadi ya banki,walet vyote hakuna na baadhi ya vitu vingine sivikumbuki

Basi yule kaka yake japo wakuvuta na kamba kesho yake akasema nije nimpeleke kituoni tumpelekee msosi mimi nilikubali ila nikamwambia nitabaki mbali kabisa usikie maafande watakwambiaje.

Kweli kesho yake nilivunja vipindi nikamsindikiza Yule jamaa alivyorudi akaniambia walimuoji ikabidi awaambie yeye ni kaka yake alitokea wilaya nyingine kuja kumletea msosi, Jamaa aliulizia kama anaweza muwekea dhamana ya pale kituoni maafande walikataa wakasema tena jarada lake linapelekwa mahakama ya wilaya

Daa jamaa alichoka tulirudi nae hadi getto kesho yake tena tukaenda kumuona na yule jamaa ndio nikajua kweli bongo nyoso yani hawakupi nafasi ya kuongea na mtu ukishapeleka msosi unaonja askari wanachukua unatembea mbele huwezi ongea hata siri na mtuumiwa , Halafu kituoni kumbe hawapiki sasa nikawa najiuliza hivi waliokamatwa na hawana ndugu karibu huwa wanakula nini kabla hawajapelekwa magereza


Kiufupi agustino kesi yake ilipelekwa mahakama ya wilaya, tena alishitakiwa na jamuhuri kwa kosa la kukamatwa na zaidi ya kili 100 za bangi tena alikamatwa na ushahidi kabisa boda boda wake kwa kujitetea ikabidi amchomee kabisa alisimama kama shahidi wa mwisho

Kulingana na mapambano ya bangi kipindi kile bila huruma hakimu alimtundika miaka 30 jela. Nimechoka kutype

Oky ngoja niendelee nakumbuka siku ya mwisho nimeenda kumuona pale magereza nikiwa nimeshika mkate na vipande vya sabuni + wembe nikajua labda kidogo kule magereza kutakuwa na utaratibu mzuri wa kuongea na mfungwa asee kufika tuliruhusiwa raia kama 20 hivi kwa mkupuo eti tuongee na wafungwa wetu kwa zile kelele sikuweza kumsikia vizuri neno nililolisikia kutoka kwake ni MWANANGU ENDELEA KUKOMAA

Na hapo nilikuwa nimetoka shuleni wilaya nyingine wakati natoka kwenye lile gereza nilijisikua huzuni sana kiasi kwamba nilijikuta na bubujikwa na machozi baada kama ya mwaka na nusu kupita nikiwa chuoni niliongea na yule kaka yake akaniambia agustino alihamishwa butimba mwanza

Kunakipindi niliona magufuli ameenda pale niliangaika sana kumtafuta agustino kwenye zile camera lakini sikufanikiwa kumuona rafiki yangu kipenzi now kamanda agustino amemaliza miaka 5 gerezani. kwa kifungo cha miaka 30 kwa jinsi wanavyo hesabu amebakiza miaka 15 gerezan

Mimi bado nikijana sana mwaka huu mwezi fulani na fikisha 24 yrs damu bado inachemka naendelea kupambana rafiki yangu mpambanaji agustino, kufa na kupona, kwa hali na mali nijipanue kiuchumii ili siku ukitoka gerezani husije kunicheka eti nilikuwa napoteza muda kitaa

Nataka uje unikute nimesha tengeneza bara bara nzuri ya kiuchumi uje tuishi maisha ya kidoni kama zilivyokuwa ndoto zako.

Nilichojifunza urafiki bora haupimwi kwa muda unapimwa kwa matendo maana niliishi na agustino katika kipindi kifupi sana lakini ameacha historia kubwa sana ndani ya maisha yangu

Nineandika kwa haraka vibaya vibaya kama kutakuwa na makosa tusameeane

Sent using Jamii Forums mobile app
agemate....pole sana mkuu kwa yaliyo kusibu...hakika kwenye hii dunia tunakumbana na mengi...tuendelee kuomba na kupambana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi ninaamini kuna mengi sana kuhusu Augustino ulikuwa huyafahamu

Ila inaonesha jamaa alikupenda sana kama rafiki, yaani mlishibana
Hapo kwa kweli hata mimi sina majibu nini kingetokea

Maana hivyo ndio jinsi ilivyokuwa.

Pia mimi nimejitahidi sana kumuelezea agustino kwa jinsi nilivyoweza weza kwani nilikuwa tu kama rafiki

Lakini naimani kama yeye angepata nafasi asimulie naimani jamaa alikuwa na vitu vingi moyoni pengine sikubahatika kuvifahamu

Hata sekeseke la jinsi alivyokamatwa akirudi yeye ndio atanipa story vizuri maana mahakaman walikuwa wanapiga tarehe hata siku ya hukumu nilikuwa nimeshakuja mjini kuendelea na masomo

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unawashauri nini vijana wasomi ambao awana ajira na wameshakaa mtaani more than 3 yrs na wanataka kujilipua kutafuta utajiri kwa njia hizi
 
Hapo kwa kweli hata mimi sina majibu nini kingetokea

Maana hivyo ndio jinsi ilivyokuwa.

Pia mimi nimejitahidi sana kumuelezea agustino kwa jinsi nilivyoweza weza kwani nilikuwa tu kama rafiki

Lakini naimani kama yeye angepata nafasi asimulie naimani jamaa alikuwa na vitu vingi moyoni pengine sikubahatika kuvifahamu

Hata sekeseke la jinsi alivyokamatwa akirudi yeye ndio atanipa story vizuri maana mahakaman walikuwa wanapiga tarehe hata siku ya hukumu nilikuwa nimeshakuja mjini kuendelea na masomo

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana ila kwa maelezo hayo kweli kuna mengi sana ju ya Agustino

Nenda gerezani kamwone ,mwambie awe mtiifu sana tena sana ,soon atapewa msamaha wa Rais huku ww ukiendelea kupambana kumwekea sawa mbeleni

Sent from my Infinix X559C using Tapatalk
 
dah! Augustino ni moja kati ya marafiki adimu sana katika dunia hii, alikuwa anatamani na rafiki yake afanikiwe pia. Pamoja na matatizo yote bado anamsisitizia akomae. Mungu ampambanie tu huko aliko.
 
Back
Top Bottom