Baada ya Nyerere kuighafirisha TANU mwaka 1967, Inawezekana Tanzania ikapata zawadi ya chama makini zaidi baada ya uchaguzi wa CHADEMA

Baada ya Nyerere kuighafirisha TANU mwaka 1967, Inawezekana Tanzania ikapata zawadi ya chama makini zaidi baada ya uchaguzi wa CHADEMA

Lord denning

JF-Expert Member
Joined
Jun 3, 2015
Posts
15,819
Reaction score
33,255
Historians wanalijua hili.

The glory of Tanzania ilikuwa kabla ya mwaka 1967 ambapo kwa mara ya kwanza nchi yetu ilipata chama makini chenye watu Makini kilichojulikana kwa jina TANU.

Kwa ukanda huu wa Afrika hakukuwa na chama makini kama TANU chini ya Mwenyekiti Julius Kambarage Nyerere na Katibu Mkuu Oscar Kambona.

Ni ujinga wa nyerere kuacha kusikiliza ushauri mzuri wa kina Kambona na the bright ones wa kipindi kile ndipo kulikokuja sababisha nchi yetu kupoteza mwelekeo na baadae tukaletewa dubwana CCM.

CHADEMA kinaendelea kuthibitisha kuwa chama makini sana. Nafuatilia uchaguzi wao na naridhika kuwa hiki ni chama makini chenye watu wanaolumbana kwa hoja ili Chama chao kiwe chama mbadala bora kwa Watanzania.

Nina uhakika, figisu za CCM na wasiolitakia mema taifa letu zikikwama kuweka vibaraka kwenye uongozi wa juu wa CHADEMA na hatimaye LISSU na HECHE wakashika uongozi wa chama hiki inawezekana sasa Mungu akawa ametukumbuka Watanzania na finally tunakapa CHAMA MAKINI SANA baada ya TANU ya Nyerere na Kambona.

Mungu awasimamie CHADEMA.
 
Historians wanalijua hili.

The glory of Tanzania ilikuwa kabla ya mwaka 1967 ambapo kwa mara ya kwanza nchi yetu ilipata chama makini chenye watu Makini kilichojulikana kwa jina TANU.

Kwa ukanda huu wa Afrika hakukuwa na chama makini kama TANU chini ya Mwenyekiti Julius Kambarage Nyerere na Katibu Mkuu Oscar Kambona.

Ni ujinga wa nyerere kuacha kusikiliza ushauri mzuri wa kina Kambona na the bright ones wa kipindi kile ndipo kulikokuja sababisha nchi yetu kupoteza mwelekeo na baadae tukaletewa dubwana CCM.

CHADEMA kinaendelea kuthibitisha kuwa chama makini sana. Nafuatilia uchaguzi wao na naridhika kuwa hiki ni chama makini chenye watu wanaolumbana kwa hoja ili Chama chao kiwe chama mbadala bora kwa Watanzania.

Nina uhakika, figisu za CCM na wasiolitakia mema taifa letu zikikwama kuweka vibaraka kwenye uongozi wa juu wa CHADEMA na hatimaye LISSU na HECHE wakashika uongozi wa chama hiki inawezekana sasa Mungu akawa ametukumbuka Watanzania na finally tunakapa CHAMA MAKINI SANA baada ya TANU ya Nyerere na Kambona.

Mungu awasimamie CHADEMA.
Mtahemka weeee lakini nothing tangible ,Lisu sio Mpya amegombea Urais mara 2 Sasa sijui Uenyekiti wake utaongeza nini kipya.
 
MBOWE MUTU YA SYSTEM AKAMULETA LOWASA MUTU YA SYTEMU CHADEMA AKAMEZWA NA JOKA KUBWA CCM
 
Ungekuwa na akili ungesali sana nchi iwe na Chadema imara maana bila CHADEMA imara nchi hii italiwa na mchwa CCM hadi itafika siku vyombo vya dola na wananchi watasema hapana
kwani umeona sina akili?
 
Lissu akiwa mwenyekiti tarehe ya uchaguzi wa CDM itapaswa kutambulika kama siku ya Mapinduzi Matukufu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwasababu kati ya 2030 na 2035 CDM isiyo ya kidalali watashika dola.
 
Lissu akiwa mwenyekiti tarehe ya uchaguzi wa CDM itapaswa kutambulika kama siku ya Mapinduzi Matukufu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, kwasababu kati ya 2030 na 2035 CDM isiyo ya kidalali watashika dola.
Why not 2025? 😆😆 Hakuna Rais wa CCM atakabidhi madaraka Kwa Wapinzani labda kizazi Chao kiishe
 
Mgombea wa CCM very likely atashinda 2025, it's fair analysis.

Ikiwa ni Samia basi tutapata katiba mpya tena bora kabla ya 2030.
Ili tupate Katiba Mpya iliyo bora ni muhimu na lazima Uongozi wa Chama Kikuu cha Upinzani yaani Chadema uwe chini ya Lissu, Heche na Lema
 
Why not 2025? 😆😆 Hakuna Rais wa CCM atakabidhi madaraka Kwa Wapinzani labda kizazi Chao kiishe
Samia atamaliza muda wake 2025- 2030. Ila ili tuweze kupata Katiba Bora kabisa inayowabana vizuri wanasiasa na kuifanya waiheshimu ni muhimu upinzani sasa ukaongozwa na Tundu Antipass Lissu. Nguli wa Sheria ambaye hajawahi tokeo before hapa Tanzania.
 
Back
Top Bottom