Baada ya Rais Samia kufungua soko la nyama falme za Kiarabu. Je, wanaopuuza zoezi la uwekaji hereni mifugo ni wasaliti wa Rais aliyewateua?

Hadi uanze kupeleka live stock au meat, M.E bado sana. Ndio maana wanakuja wenyewe kutengeneza mazingira ya kuweza kusafirisha hai au nyama.

Sio kila mtu anachinja, kupakia nyuma la pick-up lake na kupeleka sokoni nyama; kama tulivyozoea sisi.

Kwa wenzetu ukisha chinja kuna mazingira ya ku-maintain hiyo nyama at certain temperature ibaki fresh (sio kugandisha) na una masaa yasiyozidi 48 baada ya kuchinja mzigo uwe sokoni kwao.

Same thing kwenye matunda na mbogamboga zinaviwango vyake vya freshness, jumlisha na viwango vya quality ya mifugo na mboga-mboga; ndio maana wawekezaji wanakuja kutengeneza hayo mazingira ya kuweza kupeleka hizo biashara kwenye nchi zao kabla ya kuanza ku-import huko.

Kama lengo ni kusafirisha mifugo ungeanza kufuga kisasa wanone, elewa viwango vyao kujipa advantage badala ya kudhani kesho tu waarabu wanakuja kununua mifugo ovyo ovyo kama ulivyozoea kupeleka mnadani.
 
Mkuu unataka kutuambia nini umesoma vizuri umelielewa babdiko?
 
Mbona unakata tamaa mapema?
 
Ukweli ni kwamba wateule wengi wa Magufuli na baadhi wa yeye wanamsaliti sana huyu Mama huu ndio ukweli mchungu,

Hata wakimbiza mwenge nao mbona hawahamasishi hii sensa ya mifugo?
 
Unamawazo mazuri ila usiasa mwingi sana unaingiza,
 
Hii biashara ya UAE ni kubwa sana, kama kuna mtu bado hajaiona basi hafai kuwa hapo alipo,

Hongera Rais Samia,
Hongera Waziri,
Hongera wafugaji
Ndio mjiandae bei kupanda.
Km hamjaishia kula kwato na ngozi.
 
Tokea lini Mfugo ukauwekea Mfugo mwingine Hereni? Samia anahangaika tu aweke Watu makini.
 
kazi nzuri sana,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…