Baada ya Rais wa Iran kumuomba Ayatollah asiishambulie Israel, Makamu wa Rais kajiuzulu, Vifo vya Rais aliepita na Kiongozi wa Hamas vyaleta hofu

Baada ya Rais wa Iran kumuomba Ayatollah asiishambulie Israel, Makamu wa Rais kajiuzulu, Vifo vya Rais aliepita na Kiongozi wa Hamas vyaleta hofu

Yote anayo ongea ni ujinga mtupu wapi Hezbullah alijitenga na Hamasi, huyu anatafuta umarufu tu ndio sababu Iran wakamuambia awachie ngazi. Kwanza hicho cheo cha vice presdent Iran ni kama picture tu, anaye julikana pale ni Rais na Waziri wa Mambo ya nje.
Sio makamu pekee, hata Rais wa Iran anamuomba Ayatola wasiishambulie Israel

Israel alishatuma meseji kumtungua Rais aliepita na kiongozi wa Hamas
 

Hao ni wapiga domo wanaoshinda vibarazani na smartphones

Kulikuwa na kelele nyingi baada ya Rais wa Iran kutunguliwa angani kipi kimefanyika ??

Kulikuwa na kelele nyingi baada ya kiongozi wa Hamas kutunguliwa Iran kipi kimefanyika ??

Message sent and delivered !!

Rais wa sasa na makamu wa Rais aliejiuzulu wanalinda maisha yao wanapaza sauti Israel isishambuliwe, wanajua kilichowakuta wenzao waliotangulia
 
Hao ni wapiga domo wanaoshinda vibarazani na smartphones

Kulikuwa na kelele nyingi baada ya Rais wa Iran kutunguliwa angani kipi kimefanyika ??

Kulikuwa na kelele nyingi baada ya kiongozi wa Hamas kutunguliwa Iran kipi kimefanyika ??

Message sent and delivered !!

Rais wa sasa na makamu wa Rais aliejiuzulu wanalinda maisha yao wanapaza sauti Israel isishambuliwe, wanajua kilichowakuta wenzao waliotangulia
We unamjua nani huyo anaye ongea huyo alikuwa ambassador wa Iran na yupo katika watu wa karibu na na siasa ya Iran.

Kipigo kinakuja tu.
 
We unamjua nani huyo anaye ongea huyo alikuwa ambassador wa Iran na yupo katika watu wa karibu na na siasa ya Iran.

Kipigo kinakuja tu.
Rais na Makamu wa Rais usiwaone wajinga wanavyopaza sauti, Wanakwepa kilichowakuta wenzao Rais aliepita na kiongozi wa Hamas akiwa Ardhi ya Iran.

Inabidi wapige kelele kweli kweli zisikike mpaka Israel ili kupata kibali cha kuendelea kupumua bila stress.

Nafasi ya makamu wa Rais ipo wazi kwa siku nne, Uoga wa kutunguliwa !!
 
Rais na Makamu wa Rais usiwaone wajinga wanavyopaza sauti, Wanakwepa kilichowakuta wenzao Rais aliepita na kiongozi wa Hamas akiwa Ardhi ya Iran.

Inabidi wapige kelele kubwa sana zifike mpaka Israel, Wanalinda maisha yao.

Nafasi ya makamu wa Rais ipo wazi kwa siku nne, Uoga wa kutunguliwa !!
Hizo ni bla bla tu Rais wa Iran kafa kwa accident na kama kwa boom basi ni serekali ya Azerbaijan ndio wamehusika sio Israel. Haniya kauliwa kwa njama za badhi ya wa Iran kushirikiana na Mossad ndio hicho kichapa atapokea asiguse tena Iran.
 
Hizo ni bla bla tu Rais wa Iran kafa kwa accident na kama kwa boom basi ni serekali ya Azerbaijan ndio wamehusika sio Israel. Haniya kauliwa kwa njama za badhi ya wa Iran kushirikiana na Mossad ndio hicho kichapa atapokea asiguse tena Iran.
Hadi leo Iran hawajui chanzo halisi kilichotokea, Ni kwamba Israel ilitumia Teknolojia ambayo wairan bado hawaijui.

Helikopta ilishambuliwa asubuhi, Jeshi la Iran likisaidiwa na wataalam wa Uuturuki walilijitahidi waliitafuta sana wakaipata usiku.

Majuzi tu hapo Israel wamebonyeza kitufe, Kiongozi wa Hamas akiwa eneo lenye ulinzi mzito Iran kawa History
 
Hadi leo Iran hawajui chanzo halisi kilichotokea, Ni kwamba Israel ilitumia Teknolojia ambayo wairan bado hawaijui.

Helikopta ilishambuliwa asubuhi, Jeshi la Iran likisaidiwa na wataalam wa Uuturuki walilijitahidi waliitafuta sana wakaipata usiku.

Majuzi tu hapo Israel wamebonyeza kitufe, Kiongozi wa Hamas akiwa eneo lenye ulinzi mzito Iran kawa History
Israel hana loloteni firimbi zenu tu, mwenye nguvu haji kusaidiwa na USA na Western.
 
Israel hana loloteni firimbi zenu tu, mwenye nguvu haji kusaidiwa na USA na Western.
nimekutwanga facts nzito mpaka umekosa cha kubisha 😃😃

Russia anamsaidia Iran Silaha ?
 
Kwenye Msiba wa Rais wakati anazikwa kelele zilipigwa "Death to Israel" kuashiria kulipiza kisasi


View: https://x.com/IranNuances/status/1793148755925197097

Israel ina teknolojia ya juu sana kwenye mambo ya anga, Kwenye msafara wa helikopta tatu za jeshi la Iran waliiteka ndege ya Rais iliyokuwa katikati kwa namna ambayo Iran haijaweza kujua mpaka leo.

Hii inaitwa kimya kimya style juu kwa juu mkuu, unabonda unatulia !!

Kutoka wikipedia hii,

Forty-five minutes into the flight, the pilot of Raisi's helicopter, who was in charge of the convoy, ordered other helicopters to increase altitude to avoid a nearby cloud. After 30 seconds of flying over the cloud, the pilot of Esmaeili's helicopter noticed that Raisi's helicopter, which was flying between the two others, had disappeared.
Hahaha we una umri hata wa miaka 15 kweli? Accident inaweza kutokea saa yeyote ile we hujawahi ona Ma Bus yanafatana manne au matano moja halifiki kwa sababu ya Accident kwa hio hapo Israel kalishughulikia hilo basi au sio.

Hio ya kusema Death to America.
na Israel miaka wanasema sio kwa ajili ya hio Accident.
 
Hahaha we una umri hata wa miaka 15 kweli? Accident inaweza kutokea saa yeyote ile we hujawahi ona Ma Bus yanafatana manne au matano moja halifiki kwa sababu ya Accident kwa hio hapo Israel kalishughulikia hilo basi au sio.

Hio ya kusema Death to America.
na Israel miaka wanasema sio kwa ajili ya hio Accident.
Endelea kujifariji,

Baada ya Rais kutunguliwa kwenye chopper aliefata ni rafiki yake Kiongozi wa Hamas akiwa Iran eneo lenye ulinzi mkali, Kabooom !!!
 
Back
Top Bottom