3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Acha ujinga Debe tupu wewe,hicho ki ID fake kisikupe kiburi cha kukashifu imani za watu.Ushahidi huu hapa na ndio maana yupo kama mkia kila viongozi wanapokuwepo na yeye yupoView attachment 1717005
Kwa hiyo biaashara aachiwe ibilisibiblia haiimizi kanisa kufanya biashara ndugu
Acheni kuwatishia watu na hilo shirika lenu la kijasusi,nchi yetu haina dini,na ndo maana mtu wa dini yeyote anaweza kuwa rais.kama unaisifia dini kama inaweza kuleta madhara basi hiyo sio dini yaTunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Kina Alhad Mussa?Haya mkuu ngoja tuone na msimamo wa Bakwata!
Hao hao unao wasifu Kanisa Katoliki ndio wanao mpa Baba la Baba kipaza sauti kanisani kujaza watu ujinga. Wasinge mpa awe sawa na waumini wengine. Jamaa ana majukwaa mengi ya kujitangaza. Aache kanisa tunao kuja kuabudu tutoke na upako wetu.Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Kwa hiyo kumiliki guest house ni dhambi kwa mujibu wa aya gani?Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Liende wapi hiyo TAA imelikuta na kumsonesha mwanzilishi wa TANU.Toeni hilo Kanisa lenu halafu tuone tutashindwa kuishi?
Sio siku hizi.kanisa katoliki linafanya biashara mbalimbali mahoteli ya kiafahari ulaya na amerika miaka mingi.wanamiliki hisa kwenye makampuni ya kimataifa,hospital,shule futilia shule zinazofanya vizuri. ndio maana wameendelea kuneza injili ,kutoa misaada kwa wahitaji.Yesu mwenyewe alipiga mvinyo So what?Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Si wanapambana na corona? Waambie wafunge misa wakau kwa miezi 2
Waache kulalamika mapadri wanakufa huku wakiendelea kukusanyika kwenye misa. Wafunge kama walivyofanya vatcan na marekani.Kupambana na Corona ni kufunga kanisa tu?
Sijasema woteHuu ndio ushahidi unaoutumia kukashifu waislamu zaidi ya milioni 25 Tanzania? Kweli?
Mnayoita nchi lakini haina tofauti yoyote na Mamlaka ya Palestina japo nao sometime wanajiita nchi.Pale kuna Kanisa na nchi ya Vatican....nakukumbusha tu bwashee!
Hakuna asiejua UKRISTO ndio unatawala duniaTunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.
Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.
Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.
Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.
Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Usichezee ubwabwa aiseeAcha ujinga Debe tupu wewe,hicho ki ID fake kisikupe kiburi cha kukashifu imani za watu.
Fresh tu kwan hilo catholic limenisaidia nn mimi?You're an authentic Moron on Earth.
Unaonekana una akili sana hadi umewazidi wazazi wako mkuu.Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.
Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses
Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
SASA KAMA SIYO VIOJA NINI??? KANISA LILISHATOA MUONGOZO KWA WAUMINI WAKE NAMNA YA KUJIKINGA NA CORO MAPEMA MWAKA JANA, BUT STILL MAKASISI NA MASISTA WAMEKUFA KWA KUSHINDWA KUPUMUA. INA MAANA MAPADRE HAWAKUTII MUONGOZO WA KANISA??? MKIAMBIWA MUOMBENI MUNGU AEPUSHE JANGA HILI MNAMCHUKIA RAIS. aslani haitasaidia kuchukia serikali ni lazima kumrudia mungu, lakini kwa tabia hizi za kumfananisha MUNGU NA HIRIZI MMECHEMKA KANISANilitegemea ungeweka ilo tamko/msimamo wa kanisa ndio I
iwe kitu cha kujadiliwa, badala yake unatoa vitisho Kwa serikali, sidhani ata kama hilo tamko limeitisha serikali Kwa namna yoyote sababu nguvu ya serikali yoyote kila mtu anaifahamu. Hakuna serikali dhaifu
Muulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!kwa taaarifa yako katoliki ni taasis sio tu kanisa.
mkulu mwenyewe hawez tamka chafu mbele ya taasis kama catholic.
ya kanisa yabaki kanisani na siasa zibaki siasa