3 Angels message
JF-Expert Member
- Aug 3, 2017
- 5,350
- 15,426
Tunategemea mara baada ya tamko la Padri Kitima jumapili hii makanisa na vigango vyote vya wakatoliki vitafungwa na hakutakuwa na misa ili kuwakinga mapdri, masister na waumini kwa ujumla na hili janga ili waonyeshe mfano wa wao kama taasisi na kanisa wanavyojali na kupambana na hili janga