Baada ya Sauti ya Wakatoliki kunena kiume jana, kuanzia leo wasianze Kutishwa na Wanasiasa kwani yatawakuta zaidi ya Corona

Baada ya Sauti ya Wakatoliki kunena kiume jana, kuanzia leo wasianze Kutishwa na Wanasiasa kwani yatawakuta zaidi ya Corona

Tunategemea mara baada ya tamko la Padri Kitima jumapili hii makanisa na vigango vyote vya wakatoliki vitafungwa na hakutakuwa na misa ili kuwakinga mapdri, masister na waumini kwa ujumla na hili janga ili waonyeshe mfano wa wao kama taasisi na kanisa wanavyojali na kupambana na hili janga
 
Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.

Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.

Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.

Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.

Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Acheni kuwatishia watu na hilo shirika lenu la kijasusi,nchi yetu haina dini,na ndo maana mtu wa dini yeyote anaweza kuwa rais.kama unaisifia dini kama inaweza kuleta madhara basi hiyo sio dini ya
 
Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.

Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.

Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.

Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.

Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Hao hao unao wasifu Kanisa Katoliki ndio wanao mpa Baba la Baba kipaza sauti kanisani kujaza watu ujinga. Wasinge mpa awe sawa na waumini wengine. Jamaa ana majukwaa mengi ya kujitangaza. Aache kanisa tunao kuja kuabudu tutoke na upako wetu.
Ati tumuombe Mungu corona ita ondoka. Hivi mbona usiku tuna muomba Mungu atulinde lakini nyumba tunaweka mageti ya chuma na makifuli?
Si muache nyumba wazi mseme Mungu ana zilinda?
 
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.

Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses

Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Kwa hiyo kumiliki guest house ni dhambi kwa mujibu wa aya gani?
 
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.

Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses

Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Sio siku hizi.kanisa katoliki linafanya biashara mbalimbali mahoteli ya kiafahari ulaya na amerika miaka mingi.wanamiliki hisa kwenye makampuni ya kimataifa,hospital,shule futilia shule zinazofanya vizuri. ndio maana wameendelea kuneza injili ,kutoa misaada kwa wahitaji.Yesu mwenyewe alipiga mvinyo So what?
 
Kupambana na Corona ni kufunga kanisa tu?
Waache kulalamika mapadri wanakufa huku wakiendelea kukusanyika kwenye misa. Wafunge kama walivyofanya vatcan na marekani.
 
Huu ndio ushahidi unaoutumia kukashifu waislamu zaidi ya milioni 25 Tanzania? Kweli?
Sijasema wote
Niambie kwanini huyu shekhe wa dar alikuwa anaongozana na makonda kila sehemu, na baada ya makonda kukaa bench alimponda kwa maamuzi yake na urafiki wao umeisha kwa Sasa ?
 
Tunajua Tanzania yako Madhehebu mengi ya Kiimani ila tusidanganyane wala tusizunguke kusema ukweli kwamba tokea Uhuru wa nchi hii hadi sasa Kanisa Katoliki lina Nguvu ya 75% ndani ya Watanzania wengi na hata katika Kuamua Tawala ( za Kisiasa ) katika nchi hii. Wenye Akili najua kwa hili mtakuwa mmenielewa mno tu.

Asije kutokea Mwanasiasa yoyote kwasababu tu ya Ushamba na Ujuha wake au Chuki zake na Ukatili wake wa Asili akathubutu kutaka ama Kuwatisha au Kulipiza Kisasi Kanisa Katoliki na Msimamo wao walioutoa Jana au watakaoendelea Kuutoa.

Ukiwagusa tu pabaya Kanisa Katoliki jua umeigusa Nguvu moja Kubwa yenye Mamlaka ya Kiimani si tu Tanzania bali hata duniani ( ulimwenguni ) kote. Kanisa Katoliki likiamua nchi isitawalike au Mtawala aone Ikulu ni pamoto au Kumjengea Chuki kwa Watawaliwa wanaweza na Kufanikiwa. Mifano ya hii iko mingi kwa mfuatiliaji mzuri wa Masuala Mtambuka yanayoendelea au yaliyotokea huko nyuma.

Nimelisema hili mapema hivi baada ya Kudokezwa kuwa yupo Mwanasiasa Mmoja amechukizwa na Msimamo wao Thabiti wa jana hivyo anataka Kuwakomoa katika Taasisi zao za Elimu na Tina nchini hasa kupitia Misamaha yao ya Kodi au Fursa fulani fulani. Nawaonya ( Namuonya ) huyo ( huyu ) Mwanasiasa kuwa All - Rounder nasema asije Kuthubutu kwani ataharibu zaidi kuliko Kujenga. Akubali ukweli na ashirikiane nao kiukaribu kwa Maslahi mema na Ustawi wa Tanzania yetu hii.

Heko sana Kanisa Katoliki Tanzania.
Hakuna asiejua UKRISTO ndio unatawala dunia
 
Mimi ndo maana sina dini kwa kweli, kwa hiyo unataka kusema hili kanisa linataka kuingia war-mode na serikali eti??? Hata yesu alisema acheni wafu wazike wafu wao, ya kaisari wamuachie kaisari.

Kama wanajali sana dini yao waache kufungua ma bar na kumbi za starehe wakaeneze injili! siku hizi makanisa yanamiliki hadi guest houses

Ni ushenzy mtupu, by the way maisha yangu nimekua mkatoliki mpaka pale nilipoona ukatoliki ni ujinga tu! MUNGU HANA DINI WALA YESU HAKULETA DINI
Unaonekana una akili sana hadi umewazidi wazazi wako mkuu.
 
Nilitegemea ungeweka ilo tamko/msimamo wa kanisa ndio I
iwe kitu cha kujadiliwa, badala yake unatoa vitisho Kwa serikali, sidhani ata kama hilo tamko limeitisha serikali Kwa namna yoyote sababu nguvu ya serikali yoyote kila mtu anaifahamu. Hakuna serikali dhaifu
SASA KAMA SIYO VIOJA NINI??? KANISA LILISHATOA MUONGOZO KWA WAUMINI WAKE NAMNA YA KUJIKINGA NA CORO MAPEMA MWAKA JANA, BUT STILL MAKASISI NA MASISTA WAMEKUFA KWA KUSHINDWA KUPUMUA. INA MAANA MAPADRE HAWAKUTII MUONGOZO WA KANISA??? MKIAMBIWA MUOMBENI MUNGU AEPUSHE JANGA HILI MNAMCHUKIA RAIS. aslani haitasaidia kuchukia serikali ni lazima kumrudia mungu, lakini kwa tabia hizi za kumfananisha MUNGU NA HIRIZI MMECHEMKA KANISA
 
kwa taaarifa yako katoliki ni taasis sio tu kanisa.
mkulu mwenyewe hawez tamka chafu mbele ya taasis kama catholic.
ya kanisa yabaki kanisani na siasa zibaki siasa
Muulize why Magu ili apitishwe ccm ilibidi arudi kanisa catholic alipokuwa hayupo kitambo akitangatanga kwenye makanisa ya kipentekoste? catholic ni mafia hawa, ni zaidi ya serikali hao!!
 
Ukitoa kanisa katoliki ni sawa na umetoa zaidi ya 60% ya huduma za kijamii kama elimu,afya,vituo vya watoto,vijana n.k ikiwa ni pamoja na kuondoa ajira kwa watu wengi mno.Unaweza ukafikiri ni jambo jepesi lakini lina madhara sana juu ya uchumi wa nchi.Pili nguvu ya kanisa katoliki duniani ni kubwa mno.Kuanzia mashirika ya kijasusi,NGOs mbalimbali hata nguvu za kijeshi na kidiplomasia ambazo zote zipo chini ya Pope kama kiongozi mkuu, Vatican.Jaribu kujiuliza ni kwanini mataifa makubwa na yenye nguvu kama USA yanaonyesha ushirikiano sana na Vatican.Ni kwasababu wanatambua nguvu ya kanisa katoliki.Serikali haiwezi kuwa juu ya kanisa katoliki hata siku moja.Kanisa likiamua rais aachie kiti chake hakuna anayeweza kuzuia.Ushahidi wa kutosha upo kuhusu viongozi wakuu walioenda kinyume na kanisa na kuvuliwa ufalme wao.Kumbuka King Henry IV na Pope Gregory VII. Pope alimexcomunicate na kutamka kumvua ufalme na ikawa hivyo.Nguvu ya ushawishi wa viongozi wa kanisa ni kubwa kuliko ushawishi wa viongozi wa kisiasa kwao.
 
Back
Top Bottom