Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
ukisema allah, ni mungu wa kiarabu ambaye shetani anadanganya watu waamini ni lugha tu ya kutaja Mungu ila ni yuleyule, kumbe ukweli ni kwamba yule aliye allah na yule Mungu wa Israel ni vitu viwili tofauti.Kwani ukisema ALLAH au MINGU utofauti wake ni nn...?
Mbona mnajitoa akili namna hiyo...?
1. mmoja alifukuza mashetani na yeye ni mtakatifu mashetani kwake hayang'ai, mwingine (allah) kitabu chake kinaruhusu kufuga majini na wanasema majini wanaabudu nayo, wakati upande ule mwingine majini yanakemewa na kukimbia.
2. mwingine anaamrisha tusamehe, mwingine (allah) anaruhusu jihad, kukata vichwa watu kwa kisu
3. mwingine anaahidi uzima wa milele kwa watakatifu, mwingine anaahidi mabikra 72.
na mengine mengi, hapo utasema huyo ni Mungu mmoja au changa la macho kwa huyo mwingine, utaabudu shetani bila kujijua.