Baada ya tafakuri, nachelea kusema Freeman Mbowe amesalitiwa na wenzake

Hana Chama Kigogo
 
Mbowe amejikataa mwenyewe!Chadema ya sasa sio ile ya 2010 kushuka chini. Wewe fikiria unafukuza watu kama Zitto,Slaa,Mdee Matiko na wengineo wenye morale haswa.
Unategemea mtu kama Mnyika atakua sawa kweli?Wa kulaumiwa,mi Mbowe mwenyewe na si mwingine.
Wale Bawacha wanaenda kujigalagaza ubalozini kule, serious kabisa?
Angekuwa Mdee leo hii tunajadili episode nyongine.
Alieua CHADEMA ni Mbowe mwenyewe.
 
Do not be silly, wapi kuna andiko la CDM kuwa Kigogo ni msemaji wao na ni mwanachma wao au ni mshirika wao?
 
Mkuu hao Wakenya wenye skilled labour ni malofa tu wanajidanganya na kuongea Kiingereza chao kibovu, sisi tunachotaka ni utulivu tu na sio kulinganisha na hao Wakenya wanaolala kwenye nyumba full bati na ambao ni manamba kwenye nchi yao, nimesihi Kenya nawajua kindakindaki hawa jamaa zetu ambao hadi sasa utawakuta miguu yao imejaa funza na nywele zao zimejaa chawa,sema wana ujuzi wa kubaka ng'ombe, mbuzi, kuku n.k
 
Sema amedhulumiwa na wabambikaji
 
Washamchoka, duh, hata wakina Mzee mugabe, Dos Santos, yule wa Sudan, kina Mengistu, yule wa Gambia, Seseseko n.k. walibwaga manyanga, sasa huyu..?!
Ila CDM kuna walking pale, si bure..
 
Nyie ujuzi wa kubambikia,ugaidi,uhujumu chumi na takatishaji feza,majungu na roho mbaya au vipi?
 
Propaganda za ktaka kuuleta mifarakano tu. we mbona hatujawahi kukuona kwenye frontline yoyote.
Kaxi kulaumu tu. Makamu myekiti yuko nje, karibu mkuu vijana yuko mahabusu
Top cream yote ilikuwa mahabusu ulitaka nani aorganize kile unachokita
 
Propaganda za ktaka kuuleta mifarakano tu. we mbona hatujawahi kukuona kwenye frontline yoyote.
Kaxi kulaumu tu. Makamu myekiti yuko nje, karibu mkuu vijana yuko mahabusu
Top cream yote ilikuwa mahabusu ulitaka nani aorganize kile unachokita
Mnafiki huyo,ni mmoja ya wabambikiaji, sijui ni ule wa kiwango kikubwa zaidi, cha Kati au cha walalahoi.
 
Hakika mkuu wangu🤣🤣🤣
 
Amesalitiwa ama kesi yake ni ya kweli na sio kubambikizwa?.

haieleweki kwa kweli
 
Mhh sio kwamba ukimya wa viongozi na wananchi unaonyesha he is irrelevant.?,
 
Hii ilimkuta Maghufuli na sasa Mbowe , ni jambo Jema kuishi Kwa falsafa zako kuliko kuwategemea watu, usimwamini mwanadamu Mwenyezi Mungu alisema , Kwa nini? Upendo wa kibinadamu ni wa kinafiki , ukijaribiwa vikali wanakukimbia na wote wanakuacha helpless..!!
 
Inaonekana kesi ni ngumu na Wana wote wameamua kuchochora , kile kisa cha Nani atamfunga paka kengele ndo hiki sasa ...!! Anyway Kesho kuna Tamko , tusikilizie comeback
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…