KateMiddleton JF-Expert Member Joined Mar 15, 2021 Posts 3,883 Reaction score 4,676 Jul 31, 2021 #61 tobiasi said: Nonsense Click to expand... Si kwa maana mbaya I mean Think about it
Shujaa Mwendazake JF-Expert Member Joined Jul 11, 2015 Posts 4,016 Reaction score 6,759 Aug 1, 2021 Thread starter #62 mliberali said: Propaganda za ktaka kuuleta mifarakano tu. we mbona hatujawahi kukuona kwenye frontline yoyote. Kaxi kulaumu tu. Makamu myekiti yuko nje, karibu mkuu vijana yuko mahabusu Top cream yote ilikuwa mahabusu ulitaka nani aorganize kile unachokita Click to expand... Kwenye Frontline ya wachumia tumbo ama? Jibu hoja, walisema hawaondoki Mwanza hata wakifungwa wote. Mbona wamerudi makwao na wanaendelea na maisha yao. Hili la ugaidi limewakimbiza wote yaan
mliberali said: Propaganda za ktaka kuuleta mifarakano tu. we mbona hatujawahi kukuona kwenye frontline yoyote. Kaxi kulaumu tu. Makamu myekiti yuko nje, karibu mkuu vijana yuko mahabusu Top cream yote ilikuwa mahabusu ulitaka nani aorganize kile unachokita Click to expand... Kwenye Frontline ya wachumia tumbo ama? Jibu hoja, walisema hawaondoki Mwanza hata wakifungwa wote. Mbona wamerudi makwao na wanaendelea na maisha yao. Hili la ugaidi limewakimbiza wote yaan