Baada ya tafakuri, nachelea kusema Freeman Mbowe amesalitiwa na wenzake

Propaganda za ktaka kuuleta mifarakano tu. we mbona hatujawahi kukuona kwenye frontline yoyote.
Kaxi kulaumu tu. Makamu myekiti yuko nje, karibu mkuu vijana yuko mahabusu
Top cream yote ilikuwa mahabusu ulitaka nani aorganize kile unachokita

Kwenye Frontline ya wachumia tumbo ama?

Jibu hoja, walisema hawaondoki Mwanza hata wakifungwa wote. Mbona wamerudi makwao na wanaendelea na maisha yao. Hili la ugaidi limewakimbiza wote yaan
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…