Influenza
JF-Expert Member
- Jul 1, 2018
- 1,509
- 3,756
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetolea ufafanuzi kuhus Tsh. Bilioni 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya fainali za AFCON kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 zilizofanyika mwaka 2019
Katibu Mkuu wa TFF, Kidai Wilfred amesema fedha hizo hazikuingia kwenye akaunti za fedha za TFF na wala haihusiki kwenye matumizi yake. Pia, amesema TFF haijapokea fedha yoyote wakati wa fainali hizo zilizochezwa Jijini Dar
Awali, taarifa zimeeleza kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imejiandaa kuwahoji baadhi ya Maafisa wa TFF kwa matumizi mabaya ya fedha hizo zilizotolewa na Rais Magufuli
Pia soma > TAKUKURU: Kwenye TFF kuna hela zimetumika vibaya
Katibu Mkuu wa TFF, Kidai Wilfred amesema fedha hizo hazikuingia kwenye akaunti za fedha za TFF na wala haihusiki kwenye matumizi yake. Pia, amesema TFF haijapokea fedha yoyote wakati wa fainali hizo zilizochezwa Jijini Dar
Awali, taarifa zimeeleza kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imejiandaa kuwahoji baadhi ya Maafisa wa TFF kwa matumizi mabaya ya fedha hizo zilizotolewa na Rais Magufuli
Pia soma > TAKUKURU: Kwenye TFF kuna hela zimetumika vibaya