Riz king
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 276
- 549
yan wanatuchanganyaHata mimi ndio nilivyoelewa hivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yan wanatuchanganyaHata mimi ndio nilivyoelewa hivyo.
TFF hawakupokea pesa yoyote na usikute hata serikali haikutoa hizo fedha.Jana mkuu wa takukuru Kaongea na katibu wa huko TFF katoka kujibu sasa hii mikanganyiko ni takukuru kukurupuka au Magu hakutoa hela yoyote maana naona TFF kama wana hoja
Hoja ya tff ijibiwe na serikali kwa uwaziJana mkuu wa takukuru Kaongea na katibu wa huko TFF katoka kujibu sasa hii mikanganyiko ni takukuru kukurupuka au Magu hakutoa hela yoyote maana naona TFF kama wana hoja
Acha ujinga na wewe,wameshakwambia awajapokea chochote,sasa warudishe Nini?Tff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetolea ufafanuzi kuhus Tsh. Bilioni 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya fainali za AFCON kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 zilizofanyika mwaka 2019
Katibu Mkuu wa TFF, Kidai Wilfred amesema fedha hizo hazikuingia kwenye akaunti za fedha za TFF na wala haihusiki kwenye matumizi yake. Pia, amesema TFF haijapokea fedha yoyote wakati wa fainali hizo zilizochezwa Jijini Dar
Awali, taarifa zimeeleza kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imejiandaa kuwahoji baadhi ya Maafisa wa TFF kwa matumizi mabaya ya fedha hizo zilizotolewa na Rais Magufuli
sasa nani aliyezichukua na kuzifanyia matumizi hizi hela!...watupe ufafanuzi na siyo kukana wakati wao ndiyo wasimamizi na waongozaji wa football hapa nchini...
Sent using Jamii Forums mobile app
labda walitoa wakagawana wao kwa wao serikalini, mjini hapa.TFF hawakupokea pesa yoyote na usikute hata serikali haikutoa hizo fedha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hela zimeliwa na kamati ya maandalizi na uhamasishaji chini ya BashiteHahaha kwa hiyo mjomba aliwaahidi bilioni moja halafu hakuwapa.
Nadharia hii inaweza kuwa na mashiko zaidilabda walitoa wakagawana wao kwa wao serikalini, mjini hapa.