feyzal
JF-Expert Member
- Apr 20, 2016
- 7,683
- 15,128
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imeingiliwa na MakadaTff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
Labda imeenda kyela Ila tff walipokea maneno tuTff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
hahahah toto pendwa.Hela zimeliwa na kamati ya maandalizi na uhamasishaji chini ya Bashite
Sent using Jamii Forums mobile app
Tff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
Kwan nani aliyekabidhiwa hizo pesa akaziweke kwenye hiyo account ya TFFShirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetolea ufafanuzi kuhus Tsh. Bilioni 1 zilizotolewa na Rais Magufuli kwa ajili ya fainali za AFCON kwa Vijana chini ya umri wa miaka 17 zilizofanyika mwaka 2019
Katibu Mkuu wa TFF, Kidai Wilfred amesema fedha hizo hazikuingia kwenye akaunti za fedha za TFF na wala haihusiki kwenye matumizi yake. Pia, amesema TFF haijapokea fedha yoyote wakati wa fainali hizo zilizochezwa Jijini Dar
Awali, taarifa zimeeleza kuwa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) imejiandaa kuwahoji baadhi ya Maafisa wa TFF kwa matumizi mabaya ya fedha hizo zilizotolewa na Rais Magufuli
Ukisoma barua ya tff wao wanavimba kwamba mzigo hawajaupata,Kuna kitu kimejificha hapa,tff ni Kama wanajiamini hivi.Tff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jiwe hajatoa hela watuondolee maigizo
Hakuwa na maana hiyo mkuu, anakiri ahadi ilitolewa ila hajasema hela haijatolewa alichosema haijafika kwenye acc. ya TFF. Inawezekana rais katoa ila wahuni wamezila, cha muhimu takukuru waanze kutrace hizo pesa wajuwe zimeishia wapi na waje majibu sahihi.Huyu jamaa anataka kutuambia kuwa muheshimiwa aliahidi alafu hakutoa? Kwamba muheshimiwa alichukua tu ujiko mbele ya kamera alafu akapiga kimya, mbona anamkosea adabu mkuu namna hii?
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasemekana hiyo pesa kuna jamaa kaenda kuilia pasaka na atamalizia na Eid kabisa huko kijijini kwao, haikufika tff mkuu.Tff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat
Lazima warudishe pesa walizotafuna
Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
Takukuru walikuwa wakijibu swali lililoulizwa na Hemed Kivuyo wa TBC.Jana mkuu wa TAKUKURU Kaongea na katibu wa huko TFF katoka kujibu sasa hii mikanganyiko ni TAKUKURUkukurupuka au Magufuli hakutoa hela yoyote maana naona TFF kama wana hoja
😃😃😃Tuendelee kunawa mikono kwa maji tiririka
sasa nani aliyezichukua na kuzifanyia matumizi hizi hela!...watupe ufafanuzi na siyo kukana wakati wao ndiyo wasimamizi na waongozaji wa football hapa nchini...
Naona Kama pccb Kama washawahukumu hiviNina uhakika hilo jibu lao ni la kweli, hawawezi kujibu hivyo kama ingekuwa hela imeingia kwao.
Na PCCB wangekuwa na uhakika na kazi yao, wangechunguza kwanza ndo waje na allegations. Ikiwa ni pamoja na kuwakamata wahusika na si kuwaambia eti warudishe.
Naona Kama pccb Kama washawahukumu hivi
Lakini kama hela ilitolewa itajulikana tu ilikoHapa kuna siasa, au kuna mtu anatafutwa.