Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo

Jana mkuu wa takukuru Kaongea na katibu wa huko TFF katoka kujibu sasa hii mikanganyiko ni takukuru kukurupuka au Magu hakutoa hela yoyote maana naona TFF kama wana hoja
Hoja ya tff ijibiwe na serikali kwa uwazi
 
Tff toka aondoke Mzee Tenga wamejaa wahuni tu ,imerudi enzi za Fat

Lazima warudishe pesa walizotafuna

Haiwezekani Mkuu wa Nchi atoe pesa tff wazipige
 
TFF==Tafuna Fuja Filisi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haaa kwanini hili limeibuka baada ya fifa kugawa mgao kwa TFF ??? Au serikali inataka kuwany'ang'anya hilo fungu

California love
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…