Baada ya TAKUKURU kusema itawahoji TFF kuhusu Bilioni 1 ya AFCON ya vijana iliyotolewa na Rais Magufuli, TFF yasema haijawahi kupokea fedha hizo

Hahahaha mamaee TFF sasa wanaingia katika mtego wa jiwe . hiyo barua yao ni sawa na kusema raisi ni muongo. Huyo raisi wa TFF ajiandae kuulizwa uraia wake halisi na cheti cha bibi mzaa babu yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Nina uhakika TUCHAPE KAZI hakutoa huo mpunga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…