Baada ya Tundu Lissu, mwingine ambaye hatawasahau Watanzania ni Bernard Membe

Baada ya Tundu Lissu, mwingine ambaye hatawasahau Watanzania ni Bernard Membe

Mkuu umekurupuka mno, sidhani kama Membe alikuwa serious na uchaguzi huu kama wanavyofikiria. Yule jamaa hata kwa kuongea unamjua ni mtu smart na anajua anachokifanya.

Membe alidhamiria sana. Membe aliamini yeye ndio alipaswa kumrithi JK. Na kwasababu mali na mazagazaga mengi waliotwaa bila uhalali, yalirudishwa, hasira zikamtuma aonyeshe yeye ni nani. Gharama yake ni kutolewa CCM. KIfuatacho ni njaa kuingia kwenye mji. Na njaa haina adabu. Inadhalilisha.
Wahenga wanasema, hasira za mkizi huwa furaha ya mvuvi.
 
Yametimia, kwa jinsi nilivyokuwa nasoma siredi za Jf ziliniaminisha upinzani unashinda uchaguzi kwa kishindo kikubwa..
 
Yani unataka alete mada ya kumsifia babaake na mamaake hapa jukwani?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bange siyo nzuri
Baba na mama yako ndio Mungu 2 dunian kwaiyo unapoona aibu kuwasifia mahali popote na bado kuna unaowabudu na kuwasifia mahali popote bac wewe hutofautian na aliyemtazama baba yake akiwa uchi akalaniwa . ni mistar hiyo ipo kwne biblia kwa nuhu
 
Kwa wanaozijua siasa za Tanzania,lissu alishindwa uchaguzi tangu siku alipotua nchini toka ubeleshi
Hata lema alishangaa,ukimya ule wa polisi
 
Back
Top Bottom