Baada ya Vyama vya Ukombozi kuziharibu nchi zao kwa kuingiza siasa kwenye Vyombo vya Ulinzi na Usalama, Kagame avifundisha nini maana ya Uongozi!

Tofauti yao na sisi, wao wanafanya kwa maslahi mapana ya kwao kiuchumi wakiangalia mbele zaidi kitaifa zaidi.

Sisi tunafanya kwa maslahi ya CCM ili waendelee kula keki ya taifa.
 
Naunga mikono hoja.
 
Huyo Mti mkavu wamemkauishia tu kwa sababu ya sheria za kiusalama ktk ulimwengu wa smartphone,ila angezabuliwa chini kwa chini kama 2014 na kuanza kulia lia.Maneno yalikua hayahaya 2014 kabla ya kuzibuliwa kidogo na kusambaratika
Sio wamemkaushia. Kajipanga kweli na anajua anafanya nini?

Nyie mkiwekeza kwenye uchawa yeye kila siku anasoma weakness zenu na kuwajua inside out.

Kama wanajeshi wetu na hakuna chochote tunamfanya.
 
Taifa lolote likisha fanya rushwa kuwa sehemu ya taifa hilo ni wazi kwamba taifa hilo ni mfu.
Pk anamatatizo yake lakini linapo kuja suala la kuongoza nchi na maslahi ya nchi hacheki na mtu.
Kweli kabisa. Na amezijenga fikra za wananchi wa nchi yake vizuri sana huku sie tukijenga uchawa na kujipendekeza kwa watawala kulamba miguu yao.
 
Kagame ni mpumbavu kama wapumbavu wengine atakufa mdomo wazi asema Bwana, mda mwalimu.

Kajitu kamekomaaa kimwili kama cadava, katakufa vibaya mpaka nakahurumia ,ajitafakari miaka 20 iliyo pita alikuwa vile alivyo, so ajue futi saba zamhusu apende au asipede ,jinga sana hili jamaa
 
Hata akifa leo. Ametengeneza Taifa imara sana linalowekeza kwenye maarifa ili waweze ku survive.

Atakufa yeye ila ideas zake hazitalufa. Nyie mnaowekeza kwenye uchawa, kujipendekeza kwa watawala, wizi na ufisadi ndo inabidi muwe na hofu juu ya future yenu maana kwa kifupi Tanzania saivi sie ni maiti inayotembea. CCM walishalimaliza hili taifa na mifumo yake ambayo ndo at least tulikuwa tunaitegemea.
 
Atoke madarakani karne hii wanakuwa na Rais wa milele africa kuna vituko sana
 
Atoke madarakani karne hii wanakuwa na Rais wa milele africa kuna vituko sana
Tufauti yake na wengine yeye anabaki madarakani na anatumia mbinu zote kulifanya Taifa lake kuwa Taifa kuwa kiuchumi na sasa kijeshi. Sie wetu wanabaki madarakani kwa faida zao binafsi na familia zao.
 
Nilivyoona JWZT wanafanyishwa usafi na Makonda kisa wapinzani wametangaza maandamano nikaona sasa hamna tena Jeshi
 
Mmebakiza maneno mengi ya tulimpiga amini unaishi kwa istoria
 
Taifa lolote likisha fanya rushwa kuwa sehemu ya taifa hilo ni wazi kwamba taifa hilo ni mfu.
Pk anamatatizo yake lakini linapo kuja suala la kuongoza nchi na maslahi ya nchi hacheki na mtu.
Nakubaliana na wewe 90% kwa uzalendo wa nchi tu, jamaa ni mfano wa kuigwa
 
Historia inajieleza kwamba vizazi vilivyopita viliweza.
Ninyi vibwengo vya sasa mkisikia mlio tu wa risasi mnjikojolea
Tanzania, Mozambique, Afrika Kusini na Zimbabwe hizi nchi zilishajifia. Saivi zinasubiri maziko tu
 
Hapa hakuna ukweli wowote!

Labda una agenda yako ya kisiasa ama wewe sio mpembuzi yakinifu wa mambo katika eneo hili.

Mzozo wa Congo DR haukuanza leo, ni mzozo wa tangu nchi hiyo ipate uhuru wake enzi za hayati Patrice Lumumba'

Pili kama umesema nchi za SADCC zimefeli kwasababu eti zimeingiza siasa kwenye majeshi yao, hiyo ni hoja mfu na dhaifu sana! Kwanza hebu jiulize na vikosi vya umoja wa mataifa Munusco vyenye zaidi ya wanajeshi 17,000 vikiwa ndio vingi kuliko sehemu yoyote ile duniani, navyo vimeshindwa kurejesha amani kwasababu nao pia wameingiza siasa kwenye vikosi vyao???

Tatu jiulize vile vikosi vya Afrika Mashariki vilivyopelekwa mashariki ya Congo DR kutoka Kenya, Uganda, Sudani Kusini na kushindwa kurejesha amani kisha vikafukuzwa/ vikatimuliwa na kurudi kwao navyo pia vilishindwa kwasababu viliingiza siasa kwenye majeshi yao???

Mzozo wa Congo una mambo mengi mno, hata huyo Paul Kagame mwenyewe ana supportiwa na Marekani, Israel na Ulaya magharibi ndio maana wanamlea hakamatwi
 
Kwanza hapa unajadiliwa mzozo wa Congo au kufeli kwa SADC?

Hujui Kenya nae aliingia kwa maslahi binafsi Congo kama walivyo Uganda na Rwanda hadi akafurushwa?

Alafu tofautisha kufukuzwa walikofukuzwa vikosi vya EAC na mission kufeli hadi kuondoa vikosi kwa aibu walivyofanya SADC.

Hayo maneno ya Marekani mnaongea kwa sababu Kagame kawazidi maarifa na mbinu za kivita. Marekani ndo kamwekea vikwazo sasa kwa nini kawashinda na vikosi vyenu hadi mnaondoka kwa aibu?
 
Inafikirisha sana kuona kazi wanayotakiwa kufanya mgambo wajiji ndio wanapewa JWTZ sawa na kuuwa nzi kwa rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…