Baada ya wakinga kukataa mahari yangu niliamua haya yafuatayo

Baada ya wakinga kukataa mahari yangu niliamua haya yafuatayo

Bolotoba

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2024
Posts
3,424
Reaction score
7,706
Basi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3

Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani mawazo yakachange roho ikasita nikawaza hivi nigharimike hela nyingi ambapo unaweza oa na wengine wakamla bure

👉 basi Ile hela nikaenda nikanunua mahitaji yangu ya ndani

1.Nikaanza nikanunua washing mashine nikatia ndani(manual mashine)

2.Brenda(napenda sana juice za matunda)

3.Nikanunua kitanda Sita kwa Sita

4.Nikanunua rice cooker na pressure ndani, oven, heater, na meat burner (huwa napika mwenyewe once once)

5. Mtungi mkubwa wa gesi na plate mbili

👉Ikabaki 1.4 basi nikatoa 6

👉laki Sita nikanunua vifaa baadhi ya kufanyia mazoezi Nikaweka ndani
. (nikitoka mihangaiko napasha)


👉Nilijihusisha sana na one night stand Ila sio nyumba niliyokuwa nikiishi kwenye lodge tofauti

👉Sikutaka kabisa kuwa na mahusiano ya kudumu baada ya wakinga kunikataa nilifocus kwenye kufanya kazi na mazoezi kwa sana, ili nikirudi niwe nimechoka

All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
 
20635077_497306170613198_8678920498987401216_n.jpg
 
Kwanza Pole kitu nimejifunza kwa wanawake, mi Binafsi yangu siamini kama Duniani Kuna Mwanamke wa peke yako.
Wewe lipa mahari Nyingi Ila Jua Watu wanapiga kama Kawa, Tena mtu anaweza kupiga kwa Kumnunulia Ice cream ya 500 na akachapa, au Anachapwa Bure tu.
Ushawaza Alomtoa Bikra alimpa nn usiwe bwege wa kutoa mahari kibao wakati huyo mke unakuja ku- share na Washikaji Mtaani.
Mke wa peke yako Duniani Hakuna.
 
Kwanza Pole kitu nimejifunza kwa wanawake, mi Binafsi yangu siamini kama Duniani Kuna Mwanamke wa peke yako.
Wewe lipa mahari Nyingi Ila Jua Watu wanapiga kama Kawa, Tena mtu anaweza kupiga kwa Kumnunulia Ice cream ya 500 na akachapa, au Anachapwa Bure tu.
Ushawaza Alomtoa Bikra alimpa nn usiwe bwege wa kutoa mahari kibao wakati huyo mke unakuja ku- share na Washikaji Mtaani.
Mke wa peke yako Duniani Hakuna.
Dah kwahiyo babu unaish na mwanamke unajua kabisa nje wahuni wanakula
 
Sasa ulitaka kuoa na hukua na vitu vyoote hivyo ambavyo hata sio vya kuita maendeleo maana ni basics kabisa za kuanzia maisha, ulitaka huyo mke muishi naye vip baada ya kumuoa
Nilikuwa na vitu tu vya kawaida s unajua tena maisha ya masela sufuria kadhaa, kabati, kitanda, sabufa, tv, jiko dogo kazi kwisha
 
Namba nne,

Once once!

We jamaa!
Si mara moja moja mkuu🤣tunalazimisha kingereza kwa tafsiri neno, mfano kwa kiswahili. Mtu akasema Kila mtu achukue kiti kimoja kimoja kwa kingereza kwa tafsiri neno tutasema "each person should take one one chair " 🤣Ila sio sahihi
 
Basi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3

Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani mawazo yakachange roho ikasita nikawaza hivi nigharimike hela nyingi ambapo unaweza oa na wengine wakamla bure

👉 basi Ile hela nikaenda nikanunua mahitaji yangu ya ndani

1.Nikaanza nikanunua washing mashine nikatia ndani(manual mashine)

2.Brenda(napenda sana juice za matunda)

3.Nikanunua kitanda Sita kwa Sita

4.Nikanunua rice cooker na pressure ndani, oven, heater, na meat burner (huwa napika mwenyewe once once)

5. Mtungi mkubwa wa gesi na plate mbili

👉Ikabaki 1.4 basi nikatoa 6

👉laki Sita nikanunua vifaa baadhi ya kufanyia mazoezi Nikaweka ndani
. (nikitoka mihangaiko napasha)


👉Nilijihusisha sana na one night stand Ila sio nyumba niliyokuwa nikiishi kwenye lodge tofauti

👉Sikutaka kabisa kuwa na mahusiano ya kudumu baada ya wakinga kunikataa nilifocus kwenye kufanya kazi na mazoezi kwa sana, ili nikirudi niwe nimechoka

All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
Milion 3 wamekuonaje kwani...au ulivimba sana
 
Kama ni kwl ,SoMo la kujijenga kwanza lilikupita ,hakikisha unakuwa Bora na imara kabla ya Ndoa Yako
 
Back
Top Bottom