- Thread starter
- #81
Huko sahihi sura fulani hiviHuyo wako ndio mwenye sura ya baba bana 😹😹
Sisi tuna visura viteta km midoli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huko sahihi sura fulani hiviHuyo wako ndio mwenye sura ya baba bana 😹😹
Sisi tuna visura viteta km midoli
Unaona lamomy majibu ya mkinga mwenzioHuyo wako ndio mwenye sura ya baba bana 😹😹
Sisi tuna visura viteta km midoli
Hebu tuachane na hizo chats zenu za kitoto, hivi shem wewe unaitwa Philomena?? 🤔Unaona lamomy majibu ya mkinga mwenzio
Hebu tuachane na hizo chats zenu za kitoto, hivi shem wewe unaitwa Philomena?? 🤔
Wazo la kuoa ulitoa wapi kwa huu ujingaNilikuwa na vitu tu vya kawaida s unajua tena maisha ya masela sufuria kadhaa, kabati, kitanda, sabufa, tv, jiko dogo kazi kwisha
Sasa ukioa mkuu hivo vitu si vinanunulika tuWazo la kuoa ulitoa wapi kwa huu ujinga
Hahaha huku mwenzie amepanda hewani nikisimama nae Mimi naonekana km andunje fulani hivi ananizidi kimo mwiliHuyu wa kwangu ni mfupi si nawajua tena kina mbilinyi🤣Ila baba unamzgo huo nilichompendea mimi ni ule utulivu mzee
Songa mbele Mwamba....Binti naye kasema hayupo tayari kwa sasa
kupanga ni kuchaguaBasi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3
Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani mawazo yakachange roho ikasita nikawaza hivi nigharimike hela nyingi ambapo unaweza oa na wengine wakamla bure
👉 basi Ile hela nikaenda nikanunua mahitaji yangu ya ndani
1.Nikaanza nikanunua washing mashine nikatia ndani(manual mashine)
2.Brenda(napenda sana juice za matunda)
3.Nikanunua kitanda Sita kwa Sita
4.Nikanunua rice cooker na pressure ndani, oven, heater, na meat burner (huwa napika mwenyewe once once)
5. Mtungi mkubwa wa gesi na plate mbili
👉Ikabaki 1.4 basi nikatoa 6
👉laki Sita nikanunua vifaa baadhi ya kufanyia mazoezi Nikaweka ndani
. (nikitoka mihangaiko napasha)
👉Nilijihusisha sana na one night stand Ila sio nyumba niliyokuwa nikiishi kwenye lodge tofauti
👉Sikutaka kabisa kuwa na mahusiano ya kudumu baada ya wakinga kunikataa nilifocus kwenye kufanya kazi na mazoezi kwa sana, ili nikirudi niwe nimechoka
All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
Ingetosha kuandika "wakwe"/ukweni tarajiwa kuliko kuandika kwa kurudiarudia "wakinga" kila mara.Huo ni udhalilishaji na ubaguzi.Hata hivyo,simulizi yako haina uhakika kama kweli ilitokea kweli.Basi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3
Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani mawazo yakachange roho ikasita nikawaza hivi nigharimike hela nyingi ambapo unaweza oa na wengine wakamla bure
👉 basi Ile hela nikaenda nikanunua mahitaji yangu ya ndani
1.Nikaanza nikanunua washing mashine nikatia ndani(manual mashine)
2.Brenda(napenda sana juice za matunda)
3.Nikanunua kitanda Sita kwa Sita
4.Nikanunua rice cooker na pressure ndani, oven, heater, na meat burner (huwa napika mwenyewe once once)
5. Mtungi mkubwa wa gesi na plate mbili
👉Ikabaki 1.4 basi nikatoa 6
👉laki Sita nikanunua vifaa baadhi ya kufanyia mazoezi Nikaweka ndani
. (nikitoka mihangaiko napasha)
👉Nilijihusisha sana na one night stand Ila sio nyumba niliyokuwa nikiishi kwenye lodge tofauti
👉Sikutaka kabisa kuwa na mahusiano ya kudumu baada ya wakinga kunikataa nilifocus kwenye kufanya kazi na mazoezi kwa sana, ili nikirudi niwe nimechoka
All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.