Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hyo hela ungenunua kiwanja sa iv kingekuwa kishapanda thamaniBasi kwasababu siku na uwezo wa kutimiza hiyo milion 3
Nika pambana nikaipata milion Tatu Baada ya miaka miwili ya kusave fedha nikapata wazo niende Sasa kutoa mahari lakini wakati Niko njiani mawazo yakachange roho ikasita nikawaza hivi nigharimike hela nyingi ambapo unaweza oa na wengine wakamla bure
👉 basi Ile hela nikaenda nikanunua mahitaji yangu ya ndani
1.Nikaanza nikanunua washing mashine nikatia ndani(manual mashine)
2.Brenda(napenda sana juice za matunda)
3.Nikanunua kitanda Sita kwa Sita
4.Nikanunua rice cooker na pressure ndani, oven, heater, na meat burner (huwa napika mwenyewe once once)
5. Mtungi mkubwa wa gesi na plate mbili
👉Ikabaki 1.4 basi nikatoa 6
👉laki Sita nikanunua vifaa baadhi ya kufanyia mazoezi Nikaweka ndani
. (nikitoka mihangaiko napasha)
👉Nilijihusisha sana na one night stand Ila sio nyumba niliyokuwa nikiishi kwenye lodge tofauti
👉Sikutaka kabisa kuwa na mahusiano ya kudumu baada ya wakinga kunikataa nilifocus kwenye kufanya kazi na mazoezi kwa sana, ili nikirudi niwe nimechoka
All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
Mwanangu nimekaa single muda mrefu miaka karibu tangu 2017 mzee mpaka Leo miaka ya kujitafutaKwa mambo yanayozungumzwa humu ndani kuhusu ndoa, ni heri mtu ukae single aisee.
Wazo zuri mkuu! Nitalifanyia kaziHyo hela ungenunua kiwanja sa iv kingekuwa kishapanda thamani
Mnataka wanawake wa peke yenu mnawawafikisha? wanakojoa? au ndio kuwabana wenzenu hawajui hata msisimuko ipoje,Kwanza Pole kitu nimejifunza kwa wanawake, mi Binafsi yangu siamini kama Duniani Kuna Mwanamke wa peke yako.
Wewe lipa mahari Nyingi Ila Jua Watu wanapiga kama Kawa, Tena mtu anaweza kupiga kwa Kumnunulia Ice cream ya 500 na akachapa, au Anachapwa Bure tu.
Ushawaza Alomtoa Bikra alimpa nn usiwe bwege wa kutoa mahari kibao wakati huyo mke unakuja ku- share na Washikaji Mtaani.
Mke wa peke yako Duniani Hakuna.
Sasa mkuu je Akipata mimba huko?? Haya kuna maradhiMnataka wanawake wa peke yenu mnawawafikisha? wanakojoa? au ndio kuwabana wenzenu hawajui hata msisimuko ipoje,
Usijiangaisha kumlidhisha mwanamke, Tazama Maisha yako, na Kingine Pesa Nyingi ya Mahari sio Guarantee.... vijana watachapa tu...Oa Ukiwa unajua.Mnataka wanawake wa peke yenu mnawawafikisha? wanakojoa? au ndio kuwabana wenzenu hawajui hata msisimuko ipoje,
Usijiangaisha kumlidhisha mwanamke, Tazama Maisha yako, na Kingine Pesa Nyingi ya Mahari sio Guarantee.... vijana watachapa tu...Oa Ukiwa unajua.
Usijiangaisha kumlidhisha mwanamke, Tazama Maisha yako, na Kingine Pesa Nyingi ya Mahari sio Guarantee.... vijana watachapa tu...Oa Ukiwa unajua.
Mkuu unazingua sana,,Sasa ulitaka kuoa na hukua na vitu vyoote hivyo ambavyo hata sio vya kuita maendeleo maana ni basics kabisa za kuanzia maisha, ulitaka huyo mke muishi naye vip baada ya kumuoa
Wanawake wasiokua na BBB yaan Bikra 3 hawawezi kukuelewa hata kidogoAll in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
hapo tutawapigia Sana wake zenu! hakikisheni wanapata Raha ya orgasm hivi hivi mnawaonea dada zetu yaani akikaa na wenzie wanaambizana kinachomkuta kwa waume zao huku yeye anachokumbuka na kunawa shahawa za Baba fulani tu huku nawewe eti unataka awe wa peke yako hapo uongoUsijiangaisha kumlidhisha mwanamke, Tazama Maisha yako, na Kingine Pesa Nyingi ya Mahari sio Guarantee.... vijana watachapa tu...Oa Ukiwa unajua.
Hivi story yako isingenoga bila kutaja wakinga lakini 🥹
Dah mkuu maneno makali sanahapo tutawapigia Sana wake zenu! hakikisheni wanapata Raha ya orgasm hivi hivi mnawaonea dada zetu yaani akikaa na wenzie wanaambizana kinachomkuta kwa waume zao huku yeye anachokumbuka na kunawa shahawa za Baba fulani tu huku nawewe eti unataka awe wa peke yako hapo uongo
poa bhana Mkuu unajua hata wanaume tunazingua hatuwatulizi kisawasawa sio kuwalaumu tu Mimi Nina ushadi mwingi sana ukitaka kumkabishi mkeo kwa wadau Acha kumaliza DK 90 hata siku kazaa utaona tyr kaanza kuchomoka akamalizie hukoDah mkuu maneno makali sana
Mwanangu saa moja na nusu unafanya nini kifuani kwa mwanamkepoa bhana Mkuu unajua hata wanaume tunazingua hatuwatulizi kisawasawa sio kuwalaumu tu Mimi Nina ushadi mwingi sana ukitaka kumkabishi mkeo kwa wadau Acha kumaliza DK 90 hata siku kazaa utaona tyr kaanza kuchomoka akamalizie huko
Unachungulia fursa Ngosha 😹Lamomy mimi ni msukuma 😁Nawapenda wakinga na wachaga Ila Sasa s ndo hamtaki kuish mwanza nyie ni Daresalaam tu
USIWEKEZE Akili kwa mwanamke Tazama Maisha yako,atachapwa tu hata ufanye nn. umridhishe usimridhishe atachapwa tu.hapo tutawapigia Sana wake zenu! hakikisheni wanapata Raha ya orgasm hivi hivi mnawaonea dada zetu yaani akikaa na wenzie wanaambizana kinachomkuta kwa waume zao huku yeye anachokumbuka na kunawa shahawa za Baba fulani tu huku nawewe eti unataka awe wa peke yako hapo uongo