Baada ya wakinga kukataa mahari yangu niliamua haya yafuatayo

Unachungulia fursa Ngosha 😹

Wakinga tunaipenda kkoo, nyie wasukuma mnataka tukachunge ng’ombe tutaweza??
Nop sijawahi kuchunga labda kulima kwetu ni town siku hizi 🤣 akili zangu nikiunganisha na wakinga tutatoa watoto bright sana
 
USIWEKEZE Akili kwa mwanamke Tazama Maisha yako,atachapwa tu hata ufanye nn. umridhishe usimridhishe atachapwa tu.
Ety mwana anasema anakaa lisaa moja na nusu kifuani
 
Mwanangu saa moja na nusu unafanya nini kifuani kwa mwanamke
sio kifuani Tu muda wote huo kuna style kibao mtu alizike nae ahisi yupi duniani kweli na anaishi sio abaki na maswali mengi mwenzio
 
Kuna msemo mmoja unasema mwanamke hawez Pata pesa na muda kutoka kwa mwanaume mmoja lazima akose kimoja
sio kifuani Tu muda wote huo kuna style kibao mtu alizike nae ahisi yupi duniani kweli na anaishi sio abaki na maswali mengi mwenzio
 
USIWEKEZE Akili kwa mwanamke Tazama Maisha yako,atachapwa tu hata ufanye nn. umridhishe usimridhishe atachapwa tu.
maisha yako huwezi kuyatenganisha na mkeo Mkuu km unaangalia maisha yako basi mpe haki yake
 
Nop sijawahi kuchunga labda kulima kwetu ni town siku hizi 🤣 akili zangu nikiunganisha na wakinga tutatoa watoto bright sana
Rudi tena kawaombe wakupe mke.
Wakinga waelewa sana hawana mambo mengi.!!
 
All in All, maisha ya kuishi mwenyewe ni ya kipweke sana. Ila ndo hivo heri uishi peke yako kuliko, kuishi na mtu alafu ukakosa furaha na amani. Na haya maisha nimeishi miaka 5.
Wanawake wasiokua na BBB yaan Bikra 3 hawawezi kukuelewa hata kidogo
 
Binti. Sasa mwanzoni alikua interested Sasa nimemtafuta anasema hayupo ready for mariage
Alikuona hauko serious mbabaishaji, wewe kutajiwa mahari kidogo umekimbia.
Vipi utaweza kumtunza miaka yote hiyo mpk kifo kiwatenganishe??
 
Kama ulitumia miaka miwili kupata milioni 3 basi pambana sana mkuu. Na ulitaka kuoa huku huna hata vitu vya ndani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…