Baada ya walimu walio kuwa wamejificha kwenye Ofisi za Elimu Msingi, Sekondari na TSD ndani ya Halmashauri kutimuliwa sasa Idadi ya walimu Waongezeka

Kazi zinawazidi hao maafisa ndiyo maana wanaomba wasaidizi kutoka mashuleni, hao walimu hata Kama watarudishwa mashuleni bado watakuwa wanaitwa kila wakati kusaidia
 
Masters elimu hawaitambui, Sasa wanataka na PhD awe mkuu wa idara.

Kwenye sekta nyingine hao PhD wamedeliva nn Cha maana?
Masters na PhD kwenye utawala hawana tija yoyote.
Bachelor iwe kiwango kinachotambulika kama elimu kwa viongozi,
Sifa zingine za uzoefu na historia ya utendaji kazi uliotukuka ndio viwe vigezo vya uongozi katika elimu
 
Hata kama ni za kweli lakini zina msaada wowote zaidi ya title? Mh Dr Manyau nyau
 
Masters na PhD kwenye utawala hawana tija yoyote.
Bachelor iwe kiwango kinachotambulika kama elimu kwa viongozi,
Sifa zingine za uzoefu na historia ya utendaji kazi uliotukuka ndio viwe vigezo vya uongozi katika elimu
Kibongo bongo hii ni elimu ya juu sn
 
Wewe ni mwalimu na roho yako mbaya kwa wenzako walio kuwa wamebadilishiwa majukumu ndio imekusukuma kuja kuandika hapa
Kwanza hawakwenda halmashauri kwa kujipendekeza isipokuwa sifa zao anaweza kuwa NI mwalimu Ila alipojiendeleza alisoma uchumi, IT na mengine kwa upungufu ulio kuwepo halmashauri ukaona umtumie utalaamu wake kwa kumvuta halmashauri
 
Hii chai.
 
Wew kweli ni Mwalimu,umeandika ukweli mtupu,mijini walimu ni wengi mno,wafanyiwe msawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…