Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Malichi mawazo yako yanaheshimiwa..lakini samahani tuwe wakweli..umesikia wanachozungumza hao mabwana wawili hapo..tafadhali tujuze basi. Hawa wazungu kama hawataki kutupa mikopo ama misaada waache tu tunarasilimali nyingi tutatoboa tu..ila hatuna anayetuchonganisha kabisa..sisi wenyewe tuu hofu zetu. Understood school boy?
 
Haki za binadamu ni zipi zinazokiukwa?? Wajitoe tu mbona wachina wapo.
 
For sure I support this
 

huwa unakawaida ya kuota ndoto za mchana??jibu kwanza hapa nahisi unahitaj msaada mkubwa
 
Hivi mnalilia misaada na mikopo ya wazungu kwani Magu si ameshaifanya nchi hii kuwa "dona kantre"? Sasa ni zamu yetu kuwanyima misaada na mikopo wazungu!
 
sawa kwa hiyo??
 
Tembea kifua mberee!
 
Mimi naona ni Vizuri tu ili tujifunze kujitegemea kama wao walivyoanza walipewa misaada na nani.?
Mimi kama raia ninayeishai hapa sijaona ukiukwaji wowote wa haki za binadamu ambao ni wa kutisha
Tupo Rai 55M lazima wawepo na watukutu tu.!
 
Hahahaaaaa
 
Eti suala hili watu wanamuomba mungu atunusuru mnaakili kweli mungu aache kufanya vitu vingne vya msingi kutibu wagonjwa hospital huko ajisumbue na watz wehu


hahahahahaahaa watu mmeichoka nchi yenu walah mie nacheka tu...tukome..mayb tutaamka!mwaka huu kila rangi tutaona
 
Sijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.
Sasa anayelalamika jf na asitembeze bakuli na yule aliyekaa kimya na akatembeza bakuli nani aulizwe, mbn unaropoka na kushindwa kutumia akili hata kidogo. Nchi yetu inaendeshwa kwa misaada na hao wanaozuia ndio hao hao wanaofanya tuyaona haya maendeleo ambayo bado ni finyo ktk mambo yote ya elimu, afya na mambo mengine meengi. Ss ukijifanya kuona ni jambo jema kuvimba wakati unaowavimbia ndio wanaokusaidia ni ujinga tena ni bora uwavimbie kwenye maswala yenye tija ila serikali inafanya mambo ya kipuuzi hlf unavimba. Ww endelea kujipamoyo na wakati umtumiaji wa ARV's na wenye kuzitoa wameshabana.
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Ngoja mama yako aione rangi halisi ya ccm. Mpe pole sana mama
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…