Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Sawa lakin kupanga nikuchagua
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Mwanabodi,
Hakuna asiependa kuishi bila kusali kwa Mungu kuweza kutupa ulinzi wake kwetu sote.
Kuhabarishana ni sehemu pia ya maandalizi ya sala kwa Mungu.

Ondoa hofu, hapa Jamvini hakuna member apendae shida na tabu yy binafsi pamoja na family yake.
Sote tunaipenda TANZANIA yetu.
 
unasifa zote za kuchukua cheo cha bashite
 
yule mkuu wetu wa kitengo cha fedha ametueleza bungeni hajapokea barua yeyote ya kusitishiwa misaada au katuhadaa
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Unamlilia Mungu huku uawashangilia wanaoliangamiza Taifa?Je huo sio ujinga? je na Mungu yupo tayari kusikia kilio chako?
na bado utaendelea kutaabika sana maana uliyoyatarajia kwa kuchagua upande unaokuhangamiza ndio hayo yanayokuliza.


Ebu angalia na hiki kingine
 
Kwa hiyo wewe uko tayari kuwa shoga ili mradi mkono kinywani?? Are you serious? Je kuwa shoga ndiyo haki za binadamu Mtanzania? Hopeless.
 
Kumwambia kila kitu kipi?
 
Kwa hiyo wewe uko tayari kuwa shoga ili mradi mkono kinywani?? Are you serious? Je kuwa shoga ndiyo haki za binadamu Mtanzania? Hopeless.
kwani kuna mtu analazimishwa kuwa shoga, kwani nchi ikiendesha operation dhidi ya ushoga kimya kimya hao wazungu watajua
 
Trump hataki hata kusikia mashoga, angekuwa na uwezo angewateketeza kwemye concentration center huko Sobibor.
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.

Mungu alisha kupatia Akili ikusaidie kufikiri sawasawa ili kujitatulia Matatizo yanayo kuzunguka ,hii Habari ya kumsingizia Mungu hata mambo ambayo yapo ndani ya uwezo wako ni uvivu tu wa kufikiri na kujikatia Tamaa..Matatizo mengi yanayo mzunguka Binadamu yame tengenezwa/kuzalishwa na Binadam na yataondoka kupitia Mwanadamu.

Unaambiwa acha hii kitu ina madhara hausikii ,unaendelea ku'smoke mwisho wa Siku madhara yakijitokeza unaanza kumsingizia Mungu na blah blah za hapa na pale ..
 
Mi sijaeelewa mnafurahia au mnasikitika kunyimwa misaada?
 
Kama hizi habari ni za kweli,it's gonna be horrible. Nakumbuka enzi za mchonga tuliambiwa kila mtu afunge mkanda, naanza kuvuta picha ya empty shelves kwenye maduka yetu(I mean kama hizi habari ni za kweli), naomba Mungu zisiwe za kweli.
Duh! Umesema kweli mkuu. Miezi kumi na nane ya kufunga mkanda iligeuka miaka 18. Kunywa sana uji wa chumvi. Mungu apishe mbali.
 
Kwa hiyo huyu ndiye anayefuatia ? ??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…