Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Kwa kweli naombea itokee hivi... tupige magoti tuombe wakate misaada yote.. hata wanyama wanajua ni wakati gani watoto wamekua na waende kujitafutia maisha yao.. Please God.. make this happen!

Ww hutaumia maana unaishi huko kwa hao hao wazungu. Rudi nchini uicheze hiyo ngoma unayojidai uko tayari.
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Viongozi wenyewe wanawaombea mabaya raia wao
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Zitto ndiye aliyezuia wanafunzi wasisome wakipata mimba ndiye anayelaumiwa kukandamiza utawala bora na demokrasia
 
God is our refuge and strengh , a very present help in trouble.
Therefore we will not fear,though the earth be removed,and though the mountains be carried into the midst of the see.........

God is in the midst of her,she shall not be moved:God shall help her,and that right early.

The Lord of hosts is with us,the God of Jacob is our refuge.
Mijitu mingine bhana,yaani mufanye midhambi yenu makusudi mkishiriana na shetani,halafu mumsubiri Mungu aje awasaidie kwenye matatizo yenu mliyoyatafuta wenyewe,MUNGU NIMJUAYE HAYUPO HIVYO,AMESEMA WAZI WAZI,MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI!
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Hapo nakuona unavyofurahiiiiii ila usisahau baada ya ESCROW wote walikata misaada na tuliendelea kudunda. Kweli JPM hater mna mambo
 
Pale mambo yalishaparaganyika na hivyo lazima kilitafutwa cha kuwaambia watu ya kuwa mambo yameshakuwa siyo mambo hivyo wajipange/wajiandae kwa hali mbaya ya kimaisha. Kumbuka hakukuwa na unafuu wala uafadhali mpaka mifumo ya kiuchumi ilipobadilika(Mwinyi's phase) na tulipoanza kuwa na uhusiano mzuri WB/IMF kwa kuwa uhusiano mbaya na hayo mashirika ndiyo ilikuwa kiichi cha "msoto" wetu.
Mei Mosi mzee alisema CHUNGU CHEUPE.
Isije ikawa ni aina nyingine ya "Kufunga mkanda"
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
We unataka Zitto awe Mzalendo wakati walio madarakani wenyewe sio wazalendo?
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Sitaingia kwenye mtego huu wa kipumbavu KAMWE!!IWE KWA BAHATI MBAYA AU KWA KUTUMWA,kwani Zitto ndiye aliyeuza madini yetu kwabkuingia mamikataba mabovu!???

Nani msaliti kati ya walioruhusu kukwapuliwa kwa rasilimali zetu huku wao wakineemeka na kuacha wengine wakiwa katika ufukara wa kutupwa????

Eti Zitto ndo anasababisha nchi inyimwe misaada,Zitto ndo anawatuma kuminya Uhuru wa vyombo vya habari na ku-violate haki za binadamu??

Au huwa mnadhani nyie tu ndo mnajua kiingereza kiasi kwamba hayo matamko ya hizo nchi na taasisi za kimataifa sisi hatujui kuyasoma na kuyaelewa?

Tuwekee hapa matamko yote yaliyopelekea kukatiwa au kunyimwa mikopo na misaada na utuonyeshe angalau sentensi moja tu inayothibitisha tuhuma zako!

Wanaoiharibu nchi,wanajulikana vizuri,na wamejaa jeuri na viburi kweli kweli,kiasi kwamba wanajiona wao na Mungu ni mtu na mdogo wake,inauma sana!!!
 
Ulaya na America hawjawahi kutupa misaada waafrika.HV MTU akikupa sh mia alafu indirectly anakuibia elfu kumi amekusaidia?tukomae wenyewe kama VP,kwani wenyew walisaidiwa na nani wakaendelea.ukoloni mamboleo ifike point tuukatae.
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Wee jamaa angalia facts kwenye bandiko lako usije ukawaua ambao hawajafa.
 
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.

Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Imani bila matendo imekufa ikiwa
Wapuuzi wanaharibu Nchi badala ya kuwaambia ukweli mnamsumbua
Mungu kwa kuomba
 
Pato zima la taifa $52 billioni haifiki hata theluthi moja pato ya Amazon ($177 billioni ) kampuni ya Jeff Bezos. Jeuri ya nini?,Tuache ushamba.
 
Ndugu! Huyu Mungu Ni Wetu Sote. Hata Hao Wazungu Wanamwomba Pia. Na Pia Hatuombei Nchi Mabaya.

Principles Za Mungu Haziko Kama Za Mwanadamu. Wewe Unaweza Kusubiri Mungu Akutajirishe Kumbe Yeye Akatumia Mtu Mwingine Akupatie Unachohitaji. Sasa Usipo Behave Utapishana Na Baraka Kila Siku!
Umeongea jambo Kubwa sana wapiga mbinja hawataelewa!
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Kwa mawazo kama haya ndio unaendelea kuharibu badala ya kujiuliza tumefikaje hapa unahamisha tatizo.
kuendelea kuwachukia na kuwafanya waonekane wasaliti wale wote wenye mawazo tofauti.
Ndio kuendelea kuichimbia shimo nchi yetu kimataifa.
Mfumo wa vyama vingi haujaanza leo ni vizuri kujiuliza tatizo liko wapi na kujisahihisha nchi yetu ni moja.
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
The strongest man in the world one who stand alone. Tuache utegemezi
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.

Kwani kuna ubaya gani mkaweka tume huru ya uchaguzi, Uhuru wa vyama vya upinzani na kuwaachia wazanzibari waamue hatima yao wenyewe ? Huoni huo unaofanywa na serikali ya CCM ni usaliti mkubwa kuliko yote
 
Mchina ni ndugu yetu wa mama mmoja na baba msaada wake ni muhimu kuliko hao wajukuu!
 
Back
Top Bottom