Kwa kweli naombea itokee hivi... tupige magoti tuombe wakate misaada yote.. hata wanyama wanajua ni wakati gani watoto wamekua na waende kujitafutia maisha yao.. Please God.. make this happen!
Viongozi wenyewe wanawaombea mabaya raia waoTatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.
Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Zitto ndiye aliyezuia wanafunzi wasisome wakipata mimba ndiye anayelaumiwa kukandamiza utawala bora na demokrasiaView attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Mijitu mingine bhana,yaani mufanye midhambi yenu makusudi mkishiriana na shetani,halafu mumsubiri Mungu aje awasaidie kwenye matatizo yenu mliyoyatafuta wenyewe,MUNGU NIMJUAYE HAYUPO HIVYO,AMESEMA WAZI WAZI,MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI!God is our refuge and strengh , a very present help in trouble.
Therefore we will not fear,though the earth be removed,and though the mountains be carried into the midst of the see.........
God is in the midst of her,she shall not be moved:God shall help her,and that right early.
The Lord of hosts is with us,the God of Jacob is our refuge.
Hapo nakuona unavyofurahiiiiii ila usisahau baada ya ESCROW wote walikata misaada na tuliendelea kudunda. Kweli JPM hater mna mamboHawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Mei Mosi mzee alisema CHUNGU CHEUPE.Pale mambo yalishaparaganyika na hivyo lazima kilitafutwa cha kuwaambia watu ya kuwa mambo yameshakuwa siyo mambo hivyo wajipange/wajiandae kwa hali mbaya ya kimaisha. Kumbuka hakukuwa na unafuu wala uafadhali mpaka mifumo ya kiuchumi ilipobadilika(Mwinyi's phase) na tulipoanza kuwa na uhusiano mzuri WB/IMF kwa kuwa uhusiano mbaya na hayo mashirika ndiyo ilikuwa kiichi cha "msoto" wetu.
Muulize Kangi LugolaSijakuonea hata kidogo. Dr. Mpango hajalalamika hapa JF. Ni wewe ndio unayepiga mayowe hapa jamvini.
Uganda walijifunga mkanda? Au Tz tu ndo Vita iliwaathiri?Hiyo ilikuwa ni kufuatia vita vya Kagera. Unachanganya mambo.
We unataka Zitto awe Mzalendo wakati walio madarakani wenyewe sio wazalendo?View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Sitaingia kwenye mtego huu wa kipumbavu KAMWE!!IWE KWA BAHATI MBAYA AU KWA KUTUMWA,kwani Zitto ndiye aliyeuza madini yetu kwabkuingia mamikataba mabovu!???View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Wee jamaa angalia facts kwenye bandiko lako usije ukawaua ambao hawajafa.Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Imani bila matendo imekufa ikiwaTatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.
Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Umeongea jambo Kubwa sana wapiga mbinja hawataelewa!Ndugu! Huyu Mungu Ni Wetu Sote. Hata Hao Wazungu Wanamwomba Pia. Na Pia Hatuombei Nchi Mabaya.
Principles Za Mungu Haziko Kama Za Mwanadamu. Wewe Unaweza Kusubiri Mungu Akutajirishe Kumbe Yeye Akatumia Mtu Mwingine Akupatie Unachohitaji. Sasa Usipo Behave Utapishana Na Baraka Kila Siku!
Kwa mawazo kama haya ndio unaendelea kuharibu badala ya kujiuliza tumefikaje hapa unahamisha tatizo.View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Na kuna mijitu huwa inamsifu na kumuona Laanatullahi Nyerere kuwa ni Baba yao,Punde kidogo tutanza kuvaa nailo na viatu vya araiyoo, majunia kama 1970s and 80s!!!!!!
The strongest man in the world one who stand alone. Tuache utegemeziHawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.