Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kua wewe unadhani tunanyimwa misaada sababu ya ushoga na usagaji tu, ndio akili yako inakutuma hivyo, hufikirii nje ya hapo.Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Hivi Kumbe Joyce alishafariki?Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Mwalimu Nyerere alitofautiana na hayo mashirika ya kinyonyaji toka mwaka 1967 baada ya Azimio la Arusha. Hakuwambia wananchi wafunge mikanda na nchi ilipiga hatua za maendeleo. Mwalimu alifikia hata hatua ya kuvunja uhusiano na Ujerumani na Uingereza pale mataifa yao yalipoingilia Uhuru wetu.Naongelea the very same time unayoongelea wewe,tofauti ni kuwa naangali chanzo kwa mtizamo huru. Tunaita 'reading between the lines' na si kwa kumeza maneno ya wanasiasa kama kasuku. Ni kweli kila mtu ana haki ya kuwa na mtazamo wake kwa kadri ya upeo wake wa uelewa unapogota,so I agree to disagreed kwa kuwa mitazamo yetu iko tofauti.
Wamechanganyikiwa hawa wapinzani walahiHiyo ilikuwa ni kufuatia vita vya Kagera. Unachanganya mambo.
Nyie wazee ndo mliotufikisha hapa..hamjataka kupambana na ya ela yote tupate misingi mizuri ya katiba na uhuru wa mawazo yenu..zaidi sana mlikuwa mnasema zidumu fikra za mwenyekiti hata kama ni mbaya..unafiki mliokua nao ndo mnaotulisha sisi vijana na kizazi chetu nacho kitapata tabu na hasa ukizingatia kwa sasa elimu yenyewe inashindwa kutusaidia heri yenu nyie wazee kabla ya kumaliza darasa la nne ulikua na hakika ya kazi ila kwa sasa hata uwe na digrii hupati kazi na ukipata kazi unalipwa kisichoendana kwakifupi nyie wazee mngetumia akili mkadai uhuru wa akili badala ya uhuru wa miili nahusi tusingekua hapa..mnatuambia mnadumisha amani wakati amani yenyewe hii askari wanakwenda kusimamia uchaguzi as if alshabab ndo wanapiga kura na matokeo yanatangazwa na.polisi na huo bado mnadai ni uhuru na kuna amani..nyerere alikosea kutuachia katiba ya kikoloniKwahiyo nyie vijana mlio makazini mnaongea hivi je sisi wastaafu tutafanya Nini ktk Maisha haya jamani,
Mnatuumiza sisi wazee,na tukisoma hizi thread zenu mioyo inaenda mbio sana jamani.
Na wakwende tu kama swala ni UshogaHawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Tatizo wengi mnajua sana....no matter what,God is our refuge. ..ukiiombea nchi yako mabaya,basi ya kukute wewe na familia yako.
Mambo mengine Muwe mnatumia personal nouns....wengine tunamlilia Mungu juu ya Taifa.
Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Ungekua ulishawahi kufanya kazi na mchina usinge muhusudu hata kidogo..wenzenu waliowahusudu wachina washapokonywa shirika la umeme na kituo cha radio ya taifa na jeshi la polisi kuna mchina..they are not good at all..muwashangilie coz huna pa kukimbilia but u will rgret foreverMCHINA ANATOSHAAA
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Toka lini Tanzania tuliruhusu Shule za serikali zilisomesha wajawazito? Huu ni mwaka wa tatu Mh Magufuli anaongoza Tanzania hakuna mabadiliko ya ufanyaji siasa ni kama alivyotangaza mwanzo. Kwanini wasingefanya hivyo siku chache baada ya Mh Rais kutoa amri hizo.Kitu kimoja ambacho nina uhakika nacho ni kua wewe unadhani tunanyimwa misaada sababu ya ushoga na usagaji tu, ndio akili yako inakutuma hivyo, hufikirii nje ya hapo.
Vitu kama kuminywa kwa demokrasia, kuminywa kwa uhuru wa habari, sheria kandamizi ya mitandao (cyber crime), kutoruhusu wanafunzi wa kike wanaopata mimba kuendelea na masomo, etc vyaweza kua sababu.
Kumbe Wale wajapani waliojenga TAZARA walimtatua jiwe marinda kwanza...... Kama ni hivyo lazima akatae misaada yao.... Maana paka amalize muda wake hayo marinda yatakuwa hayafai.Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Too low mbona hata rais huwa anasimama na wazungu ina maana na yeye huwa anatusaliti.View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Haki za binadamu au ushoga. Pesa nyingi zinatoewa na mashoga kupitia hizo nchi ili nchi hizo zishinikize ushoga. Wewe fikiria ni kwanini wameanza hizi vurugu za haki za binadamu baada ya timbwili la ushoga kuibuka.Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.
Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.
Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.
Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.
Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Si mkiambiwa mnasema "hampangiwi" na "mtapiga mpaka shangazi za watu"?. Na mkilalamikiwa "msiteke/kuua/kuonea/kupotea" raia, ndo kwanza mnaongeza juhudi za sinema zenu za ukandamizaji.View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.