Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

Baada ya WB na Denmark kusitisha misaada na uhusiano wanaofuata ni Scandinavia, EU, UK, Canada na Marekani

View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
KWA HIYO BILA ZITTO WASINGEJUA YANAOENDELEA NCHINI?HUONI HATA HUO MRADI WA KUJENGA SOKO LA KINA MAMA UJIJI USHAKWAMA MAAANA DENMARK WANATHAMINI HAKI ZA BINADAMU HAWATAKI TOA MISAADA TENA?HALAFU CCM LUMUMBA BUKU 7 SI MNASEMA HAMNA SHIDA NA MISAADA SASA MNALALAMIKA NINI?SUBIRI TRA WATUKAMUE HADI VINYESI VITOKE KUFIDIA MAGEPU,SIPATI PICHA HUK BARABARANI TRAFFIC NA FAINI HIZO NA BADO ARV ZA UKIMWI ZITAPOTEA,MSAADA KWA WATU WA MAREKANI
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
The same to kwangu aisee, halafu kibaya zaidi ukiwaliza wanasema tutafanyaje sasa na wao wameamua.
 
Am just thinking of my mother, she's about to retire Na haya majibwa yamepitisha 25 Kwa 75% Na alivyo spender mamangu Na ccm die hard fan, lord have mercy! No wonder Joyce mapunjo alipotumbuliwa Tu ukatibu mkuu akajifia, dahh!
Aisee
 
Mkuu kwa nini hujasema kwamba hawa jamaa wanafanya biashara ya kinyonyaji (imbalance trade) na sisi halafu robo ya robo ya faida wanayopata ndio wanatuletea kama msaada?

Kwa nini hutaki kusema ukweli kwamba baada ya serikali yetu kujaribu kuwabana wawekezaji wote wa kizungu ili kujenga win win situation katika biashara faida yao waliyozoea ya 1000% plus imeporomoka na hivyo ile robo ya robo ya robo waliyokuwa wanaleta kama msaada wameifutilia mbali

Kwa nini husemi kwamba wazungu hawahawa wa umoja wa Ulaya na Marekani hii hii haina haja na haki za binadamu endapo tu maslahi yao katika taifa husika yametimizwa

Ni nchi gani yenye ukiukaji wa haki za binadamu kama Saudia Arabia? Je,Marekani na Ulaya wameifanya nini serikali mfalme?

Mkuu,kwa nini hutaki kusema kwamba wazungu hawatoi chochote bure kwa nchi zetu masikini? kwa nini hutaji masharti ya kiuchumi yanayoambatana na hiyo misaada yao ambayo inaumiza mno uchumo wetu

Kwa nini husemi ukweli kwamba hawa mabepari huzichezea siasa za nchi zetu ili tu aingie madarakani mtu aliye radhi kuisaliti nchi yake na kutumikia uchumi wao?

Kwa nini huhamasishi mshikamano wetu kama taifa dhidi ya mbinu zote chafu za mabepari hawa? Kwa nini hufanyi nafasi yako kama raia mzalendo kwa nchi yako na muaminifu kwa muumba wako?
Kwa hiyo wewe unataka kusema nini au unataka kila kitu niseme mimi.
 
Sasa wewe unatakaje? Tukubali ushoga? Hakuna inchi iliyoendelea kwa kutegemea misaada tu.. Fanyeni kazi tuache kuombaomba
njiwa hakuna aliyesema tukubali ushoga, watu wanazungumzia jinsi tunavyo kabiliana nao kivita badala ya kisaikolojia.
Kwanza mbona kulikuwa na uvumi kuwa DAB anatatuliwa marinda mbona hakuna aliye mnyanyasa kumpeleka kwa nguvu kupimwa? Au hill ni kwa was mitaani tuu?5
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
zito ndiye aliyewatuma mumteke Mo .. mumpige risasi lissu "! !? muanzishe vita ya ushoga ... hahaa jiwe si alisema nafasi ya kukaimu ukuu wa mkoa haihitaji mtu mwenye elimu ya juu "... endeleeni kumuunga mkono sasa " huku mkishuhudia taifa likiwa linatitia kwenye dhiki
 
Mkuu kwa nini hujasema kwamba hawa jamaa wanafanya biashara ya kinyonyaji (imbalance trade) na sisi halafu robo ya robo ya faida wanayopata ndio wanatuletea kama msaada?

Kwa nini hutaki kusema ukweli kwamba baada ya serikali yetu kujaribu kuwabana wawekezaji wote wa kizungu ili kujenga win win situation katika biashara faida yao waliyozoea ya 1000% plus imeporomoka na hivyo ile robo ya robo ya robo waliyokuwa wanaleta kama msaada wameifutilia mbali

Kwa nini husemi kwamba wazungu hawahawa wa umoja wa Ulaya na Marekani hii hii haina haja na haki za binadamu endapo tu maslahi yao katika taifa husika yametimizwa

Ni nchi gani yenye ukiukaji wa haki za binadamu kama Saudia Arabia? Je,Marekani na Ulaya wameifanya nini serikali mfalme?

Mkuu,kwa nini hutaki kusema kwamba wazungu hawatoi chochote bure kwa nchi zetu masikini? kwa nini hutaji masharti ya kiuchumi yanayoambatana na hiyo misaada yao ambayo inaumiza mno uchumo wetu

Kwa nini husemi ukweli kwamba hawa mabepari huzichezea siasa za nchi zetu ili tu aingie madarakani mtu aliye radhi kuisaliti nchi yake na kutumikia uchumi wao?

Kwa nini huhamasishi mshikamano wetu kama taifa dhidi ya mbinu zote chafu za mabepari hawa? Kwa nini hufanyi nafasi yako kama raia mzalendo kwa nchi yako na muaminifu kwa muumba wako?
Kwanini kwani nini?
 
Yaani unalilia msaada kama mtoto mdogo. Kwa hiyo uko tayari kutatuliwa marinda alimradi tu upewe msaada? Aisee.
Kikwete alikuwa akiamini katika misaada, tupe takwimu ni wanaccm wangapi walitatuliwa marinda kutokana na mwenyekiti wao kuwa omba omba
 
Tuache kumsingizia Zitto wakati ukweli unajulikana
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.
Kama yanayoendele nchini juu ya hali ya siasa, democrasia,utawala bora na haki za binadamu ni sawa, Zitto kabwe hawezi kuwa na ushawishi kwa jumuiya za kimatafa kama european union, USA,canada etc . Au hawezi kuwa na ushawishi kwa WB na IMF kusitisha misaad nchini kwetu. Hawa wakubwa wanafanyia kazi malengo ya dunia na kwetu wanadurusu malengo ya milenia na mengineyo ambayo tumesaini kuyalinda . Nchi Kukosa ushawishi kwenye jumuiya za kimataifa sio sababu ya mtu kuhongwa au kuwa kibaraka . Ni matokeo ya utekeleji wa sera na mipango yetu ya ndani. Tujitafakari.
Kumlaumu zitto, lissu au chama fulani cha upinzani ni kushindwa kuukababili ukweli.
 
God is our refuge and strengh , a very present help in trouble.
Therefore we will not fear,though the earth be removed,and though the mountains be carried into the midst of the see.........

God is in the midst of her,she shall not be moved:God shall help her,and that right early.

The Lord of hosts is with us,the God of Jacob is our refuge.
wakati huo huo ukumbuke kwamba Mungu hapendi unafiki
 
Wapinzani mlikua mnamtukana Kikwete kua ombaomba na mkasifu hili taifa tajiri miaka zaidi ya 50 ya uhuru kwanini tusijitegemee? Kuna mda nikikumbuka haya natamani Magufuli aongoze mpaka kufa kwake maana hatuna msimamo.
 
Hawa watu wana ushirikiano wa hali ya juu, hawana msaliamtume hasa linapokuja suala la haki za binadamu na utawala bora, ndio maana utakuta nchi nyingi zinazoongoza kwa utawala bora huwa ni kutoka nchi za EU na Scandinavia.

Kwa wasiojua nchi hizo huchangia 40% ya bajeti yetu, pia wana mpango wa pamoja wa kuisaidia Tanzania kimaendeleo unaojulikana kama Development Partners Group (DPG) unaohusisha nchi zaidi ya 17 nyingi zikiwa za EU na Scandinavia, UK na US, pamoja na mashirika makubwa matano ya kimataifa, WB, UN, European Commission, ADB na IMF.

Kutokana na mpango huo Tanzania hupokea wastani wa $2.5 billion zaidi ya trillion 6 kila mwaka.

Kutokana na ubabe na kiburi chetu WB wamezuia msaada wao leo Denmark wametunyima msaada na kumzuia balozi wao kututembelea kitendo kinachotafsiriwa kama mwanzo wa kuvunja uhusiano, wanaofuata ni nchi za Scandinavia ambazo ni Sweden, Finland, Norway, Iceland. Canada, Marekani na Uingereza watamalizia. Tutabaki na mchina.

Nchi hizi ni wadau wakubwa wa maendeleo yetu, ni wadau wakubwa kwenye sekta ya madini, utalii, gas nk. Tunapobeza umuhimu wao tutegemee kuzorota kwa uchumi pengine hali inaweza kuwa mbaya zaidi ya Zimbabwe.
Kwa kiburi na jeuri ya rais,anadhani wachina pekee ndo suluhisho LA matatizo nchini.,mikataba ya ulaghai na wachina tutanyonywa tena na tena.ndo maana tunasema huyu rais amepelekea taifa kupoteza mwelekeo.
 
View attachment 934597
Huyu ndio Zitto msaliti namba moja wa nchi yetu, ndiye anaeichonganisha nchi yetu na jumuiya za kimataifa, je unajua wananongea nn hapo? unajua kuwa asilimia kubwa ya mabalozi na wafanyakazi wa balozi ni majasusi wa nchi yaoo? wanapowapata wasaliti kama hawa ambao wakiwahonga fedha za misaada kwenye majimbo yao basi wanakuwa tayari kuongea kila kitu,
mnafikiri nini zito atakacho mwambia huyo zaidi ya kuomba wasitishe misaada kwa nchi? na ndio maana leo hii ikitokea taarifa ya kunyimqwa misaada basi mtu wa kwanza kuposti taarifa hiyo basi atakuwa ni Zito nakisha shangwe kufuatiwa na wasaliti wenzie.

EH! Mola! Watu wako watapotoshwa mpaka lini?!!
Mungu akunyime kila kitu ila akuondeshe na umasikini wa roho na akili!! Akufungie milango yote ya utajiri wa mali ila akufunulie utashi na busara. Amina

Mimi na mapungufu yangu kama binadamu siwezi kukusaidia ndugu. Natumaini unampango thabiti wa kuwaepusha ndugu na uwapendao na mavuno ya mbegu mnayozidi kuipanda.
 
Wapinzani mlikua mnamtukana Kikwete kua ombaomba na mkasifu hili taifa tajiri miaka zaidi ya 50 ya uhuru kwanini tusijitegemee? Kuna mda nikikumbuka haya natamani Magufuli aongoze mpaka kufa kwake maana hatuna msimamo.
Kuna mtu kasema hatutaki misaada?
 
Back
Top Bottom