Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Unampotosha mwenzio,yaani amuachie nyumba huyo shetani,bora wagawane
 
Nimekuelewa vizur dada angu
 
Mkuu hiyo kesi ishamaliza wewe nenda nae hivyohivyo wacha mamlaka iamue yalimkuta rafiki yangu haya Miaka zaidi ya 3 ni vituko tu mwisho mwanamke akaenda ngazi hizohizo. Mwisho wakaachana na kugawana mali.

So kwenye wito wowote ww nenda na lolote litakalo amuliwa na mamlaka kama kugawana mali just do it than fanya maisha yako. Huyo ashalishwa sumu na kuna mtu anamjaza usengerema. Ile hii karma itamrudia usiwe na shaka na watoto wape huduma zozote na utapata ufumbuzi.
 
Umeniona mkuu. Niseme watoto ndio wamekua udhaifu wangu mkubwa sana, ila kwasasa nimeamua nikaze moyo tu
Mpe talaka yake gawaneni hicho anachotaka!watoto watauliza TU baba yupo wapi na wewe utakua unaenda kuwaona Kila mara!!
Kuoa wasomi wenye ajira kujitafutia pressure tu mkuu!Ninae wa aina hiyo tena wa huko huko!UBINAFSI UNAZIDI KWAO KADRI MASHAKA NA CHANGAMOTO ZAO ZINAPOISHA HASA UNAPOZIMALIZA KAMA MWANAMME NDIO WANAANZA UBINAFSI NA VITUKO KIBAO!!UKIWAACHIA KILA KITU TENA HAWANA UWEZO WA KUENDESHA KABISA NA WANAANZA KUTUMIA WATOTO KUPIGA SIM ,NA HAWATAKI KUKIRI KWAMBA WALIKOSEA WANAKUTAFUTIA VIJSABABU VINGINE ILI URUDI KWENYE UTATUZI WA CHANGAMOTO WANAZOPITIA!!

WAJINGA MNO!
 
Nakupa ushauri wa kiume:-
  • Usitake talaka kwa sasa, mpaka ufanikishe hatua inayofuata chini.​
  • Uza mali zako zote kwa sasa, kabla mambo hayajapamba moto; kisha ukajenge kwingine kimya kimya.​
  • Ukifanikisha hilo, mpatie talaka.​
  • Kuna wazungu wengi wanatafuta wanaume wa kuwaweka ndani; nashauri uwatafute, kwa sababu ulimwengu ni kiganjani kwa sasa. Hii itakupunguzia msongo wa mawazo kama mkeo atakuwa anatoka na mtu mwenye uchumi mkubwa kuliko wewe.​
  • Baada ya hapo, piga pigo za 'cowboy' na ufurahie maisha.​
 
Sisi wenye 'D' 2 tumetizama Kwa jicho la kungulu jamaa ana kitu kinaitwa dependency disorder 😤 😤 ni kitu kibaya zaidi kweny maisha tafuta upande wako
Unatushangaza sis vijana wadogo huna sifa za kuwa mwanaume Bora huna msimamo wa kiume ndyo maana anakupelekesha na ataendelea kukupelekeaha by emotional kuwa baba mkamilifu

Amua Kuanza upya jifunze furah Yako isimtegemee mtu mwingne siku akikuumiza utaumia mara 4 ya maumivu ya kawaida.ila pole sanaaa
 
Pole sana braza MUNGU anakupa jaribu unaloliweza ila unapokuwa na mke wa ndoa kuwa na Moja kichwani kwa kila jambo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…