Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Kuna malaflale mwenzio aliwahi kuleta mada ya kusema “ Mwanaume kama unajijua uko nyoronyoro usijaribu kuoa mwanamke wa kinyakyuma maana utateseka sana maisha yako na Pengine kupata kisukari na presha.

Let us reimagine masculinity 💪💪

Hao dawa yao uwe mndava kuzidi wao la sivyo utapata tabu sana.
 
Kwa hiyo mwanamke mwenye hekima anaweza kutaka kuachana sababu ya kupigwa na mumewe ??
Kiburi tu.
Ndiyo ,kama anampiga kila siku! Kwani yeye ni mtoto mdogo ambaye kila siku ni makofi ni ngumi siku atolewe jicho ? Au mwanamke haumii huyo mwanaume yeye kakamilika ?
 
Ndiyo ,kama anampiga kila siku! Kwani yeye ni mtoto mdogo ambaye kila siku ni makofi ni ngumi siku atolewe jicho ? Au mwanamke haumii huyo mwanaume yeye kakamilika ?


Labda Mwanaume awe kichaa kumpiga bila sababu.
Kinachowaponza wengi ni midomo yenu na ukosefu wa adabu na heshima kwa wanaume zenu.
Hakuna wa kukupiga bila sababu labda awe kichaa tu.
Unakuta mwanamke anakosa subira aliambiwa subiri tutaongea hataki anataka usiku mzima msilale umsikilize akilalalamq na kelele chunga nzima, Mwanaume gani anayataka hayo ??!

Kwanini uchane kitabu kuzima sababu ya ukurasa mmoja tu ?!
Hivi mnaijua thamani ya ndoa nyie ?!
Mnajitia wazimu wa kudai talaka Halafu mane da kusumbua manabii na waganga watalaka zenu wawarejee.
Halafu cha ajabu ni kama una kibwana chako kinakupa kiburi cha kudai talaka ili uwe huru ukiachika tu akijua nae anakuacha 👌👌👌
Ndivyo walivyo wanaume wengi.
Unaachika unaenda kuwa mchepuko wa kule wa mtu.
Hivi mkoje ?
Huwa mnajistukia kweli nyie ??!
 
Labda Mwanaume awe kichaa kumpiga bila sababu.
Kinachowaponza wengi ni midomo yenu na ukosefu wa adabu na heshima kwa wanaume zenu.
Hakuna wa kukupiga bila sababu labda awe kichaa tu.
Unakuta mwanamke anakosa subira aliambiwa subiri tutaongea hataki anataka usiku mzima msilale umsikilize akilalalamq na kelele chunga nzima, Mwanaume gani anayataka hayo ??!

Kwanini uchane kitabu kuzima sababu ya ukurasa mmoja tu ?!
Hivi mnaijua thamani ya ndoa nyie ?!
Mnajitia wazimu wa kudai talaka Halafu mane da kusumbua manabii na waganga watalaka zenu wawarejee.
Halafu cha ajabu ni kama una kibwana chako kinakupa kiburi cha kudai talaka ili uwe huru ukiachika tu akijua nae anakuacha 👌👌👌
Ndivyo walivyo wanaume wengi.
Unaachika unaenda kuwa mchepuko wa kule wa mtu.
Hivi mkoje ?
Huwa mnajistukia kweli nyie ??!
Kwahiyo mwanamke huo mdomo wake anajiongelea tu bila sababu? Sikia nikwambie wanaume wengi wa siku hizi hawajui kuishi na wake zao mwanaume hivi unajua mwanamke anaanza kupevuka kuliko mwanaume? Sasa muoe ukizani mdogo, ndiyo maana mmeambiwa ishini na wake zenu kwa akili sio kuishi ishi tu bila kueleweka, unakuta kila siku unarudi jioni, basi weekend Kaa na mkeo muongee lakini napo anashinda mtaani, na akirudi busy kwenye mtandao unategemea nini hapo kama sio huo mdomo unaousema?
 
Wanaume wanakufa haraka kwa sababu ya mambo kama haya, nakufurahi unavyoshea unaondoa uchungu moyoni. Tafadhali usikae kimya ukatengeneza tatizo la moyo bali endelea kushea hapa nasi tutakupa mawili matatu.

Binafsi naamini asilimia mia moja mwanamke ndie anaejenga na kuvunja ndoa yake mwenyewe.

Kuhusu mali, nikushauri mpe zote na nyumba akachukue na ww kaka yangu mzuri nenda kaanze upya utauona mkono wa Mungu atakavyokupigania.

Huyu mke wako atakuja kuomba msamaha siku moja na kujutia yotee, ukweli huchelewa sanaa.

Sasa, focus kwenye kazi zako asije akakurudisha nyuma nimeona hata kwa ndg zangu jinsi wanavyoteseka na wake zao.

Mwisho, waombee watoto wako na uwekeze sana kupandikiza upendo wakuamini kwamba huna shida omba mahakama iweke utaratibu wakuwa na wototo wako. Ukiwa dar waangizie bolt waje wakuone.
 
Mpe talaka. Machine nyumba 100%. Kubali kuendelea kutoa matumizi yq watoto mpaka waffke 18years

Anza maisha mapya haraka sana iwezekanavo. Huyo mwanamke anaweza kukuua muda wowote.
 
Wanaume wanakufa haraka kwa sababu ya mambo kama haya, nakufurahi unavyoshea unaondoa uchungu moyoni. Tafadhali usikae kimya ukatengeneza tatizo la moyo bali endelea kushea hapa nasi tutakupa mawili matatu.

Binafsi naamini asilimia mia moja mwanamke ndie anaejenga na kuvunja ndoa yake mwenyewe.

Kuhusu mali, nikushauri mpe zote na nyumba akachukue na ww kaka yangu mzuri nenda kaanze upya utauona mkono wa Mungu atakavyokupigania.

Huyu mke wako atakuja kuomba msamaha siku moja na kujutia yotee, ukweli huchelewa sanaa.

Sasa, focus kwenye kazi zako asije akakurudisha nyuma nimeona hata kwa ndg zangu jinsi wanavyoteseka na wake zao.

Mwisho, waombee watoto wako na uwekeze sana kupandikiza upendo wakuamini kwamba huna shida omba mahakama iweke utaratibu wakuwa na wototo wako. Ukiwa dar waangizie bolt waje wakuone.
Ahsante sana, nashkuru sana mkuu
 
Mpe talaka. Machine nyumba 100%. Kubali kuendelea kutoa matumizi yq watoto mpaka waffke 18years

Anza maisha mapya haraka sana iwezekanavo. Huyo mwanamke anaweza kukuua muda wowote.
Nimeamua kufanya hivyo kaka
 
Ahsante sana, nashkuru sana mkuu
Karibu rafiki natamani niwe nakusaidiaa mawazo ili uishi siku nyingi. Wewe wapende wazazi wako sanaa kupitia wao utapata amani maana hawataacha kukuombea kila siku. Usiache kutumia nguvu na akili kuweka bond kwa watoto wako maana huyo mwanamke anaweza kuwa brainwash watoto wako.
 
Wakuu heshima kwenu. Poleni na majukumu.
Ndugu yenu numerudi tena kuwajuza yale yanayoendelea kunisibu, maana najua hapa wamejaa watu wenye upeo wa kushauri, kutia moyo ,kuonya, kukufungua jicho upate alert na wengine weeengi sana.

Wiki kadhaa zimepita toka nilete mikasa yangu na mazonge ya wife.

Soma: Mshkaji wangu anataka kumroga mama watoto wangu

Pia nikaleta huu: Nini madhara ya Kutoonekana mahakamani katika kesi ya Ndoa?

Sasa ni hivi, kwakifupi ni kwamba, baada ya wife kuamua kuondoka nyumbani, nikamtafuta mara kadhaa simu zikawa hazipokelewi, basi na mimi nikaamua kupiga kimyaa tu.
Si kupiga simu wala kutuma message.

Katika mazingira hayo, ya kutowasiliana, yeye akiwa kwao huko mitaa ya Boko, mimi nikaanza kupokea "samansi" kupitia ngazi za serikali.

Nikapelekwa dawati la jinsia polisi
Nikapelekwa baraza la kata
Nikaitwa kikao cha familia

(Koote huko, ni yeye, na msimamo wangu ulikua, kutafuta suluhu maisha yaendelee ila mwenzangu akagoma na kusisitiza dai la Talaka)

Nikaitwa tena polisi na kutiwa lockup
NIkatolewa kwa dhamana.
Niliporudi home nikakuta kahamisha karibia 50% ya kila kitu mle ndani, ikiwemo vitu vyake na vya watoto wetu wanne vyooote.

Nikafuatilia na kugundua kule baraza la kata ameshachukua form no.3 kwaajili ya kufungua shauri la talaka mahakamaani

Kipindi hiki chooote ni yeye anacheza offensive game ya kuniburuza namna hiyo anavyotaka, mimi nimetulia kwenye mode ya Deffensive game. Sitaki kushindana na mama watoto, hasa ukizingatia aliondoka na watoto.

Nikaona isiwe kesi, huyu mama kweli kadhamiria kuni destroy.

Ikumbukwe kuwa muda wote huo , niko busy na shughuli zangu za kibiashara na kusafiri mikoani, hivyo nalazimika kusitisha kazi na kuja kuitika wito mpaka nawekwa ndani, na kipindi hiki chote niliamua kuacha nyumba na kuhamishia makazi mwanza. Home pakawa pamebaki hapana mtu.

Baada ya muda nikapata wito wa mahakama, wife kafungua kesi ya kutadai talaka.

MImi nimetulia zangu tu wala sishindani naye.
Kila anachofanya, mimi napambana nacho, nachomoka, simtumii text, wala kumpigia kusema labda kumlaumu,au kumtishia au kumuomba msamaha aachane na hizi ishu, au kusalimia watoto, nimekaa kimyaa tuuu.

Mawazo nikaona yananizidia, nisije changanyikiwa, nikarudi nyumbani nyanda za juu kusini kwa baba na mama. Hii kwa kiasi kikubwa ikanisaidia.

ONA SASA,

Sasa week hii karibia na kesi, nikasafiri kurud Dar, kwakua nilikua na majukumu ya kikazi, nikaona isiwe tabu, nikatafuta taarifa za pale nyumbani panaendeleaje ? Nikamtafuta mtu wa jirani, akafika home akakuta pamevunjwa geti na nilimpomsihi anisaidie kuingia ndani na kukagua, akakuta 95% katika vitu vilivyobakishwa na wife alipotoroka nikiwa lockup, pia vimeibiwa.

Basi nilipomalizA majukumu yangu, nikaona nipite pale home, kisha nikaenda ku report polisi juu ya tukio, maana nikawaza, wife kafungua kesi ya talaka na moja ya madai yake ni mgawanyo wa mali kwa maana ya nyumba, sasa japo sikua na hamu tena na chochote juu ya mali, nikataka nipotezee tu hata nisifike home ila nikaona hii isije niletea shida kwenye kesi ya mgawanyo wa mali ikaonekana mimi kwa namna moja au nyingine nime temper na mali ambazo kesi ya wife inataka zigawanywe baada ya talaka.

Nikaona acha nipeleke taarifa niwe katika safe side.

Baada ya kumaliza ku report nikarudi tena nyumbani, na kushuhudia hali halisi, baada ya hapo, nikamuita kijana mmoja jirani yangu, nikamwambia achukue kila kitu kilichobaki mle ndani ambavyo wezi waliviacha.
Vitu vile vikubwa kubwa kama makabat na furniture ,na baadhi ya vyombo. Nikamwambia avichukue tu, nimempa, maana hawa wezi wanaweza wakarud tena wakaiba, hivyo bora jirani unufaike wewe ninayekujua. By the way sina mpango tena wa kurud kufanya maisha hapa.

Tukaachana nikaondoka kurudi hotel niilipofikia kusubiri siku ya kesi mahakamani maana imekaribia.

Sasa kitu cha kushangaza ni kwamba, yale niliyokua najiuliza na ku assume kichwani, ndiyo hayo hayo alikua akiyafikiri yule askari aliyenichukua maelezo. Maana yeye siku natiwa lockup na wife, yeye alikuwepo mpaka siku natoka, so mgogoro wetu anaujua.

Akaniuliza katika maelezo "je, katika tukio hili, unamtuhumu nani?".

Nikajibu "simtuhumu mtu wala sijui ni nani aliyetenda"

Akafunga maelezo na kufungua jalada kisha kunipa RB yangu.
Ila "off record" akaniambia " laiti kama mimi ningekua mpelelezi wa kesi hii, ningemtia hatiani mke wako kama mtuhumiwa namba 1"

Nikasema "hapana mimi sifahamu".
Japo kiukweli, ninasukumwa kuamini hili.

Ninaamini kabisa, wife amefikia hatua mbaya sana ya chuki juu yqngu na anajaribu kuni provoke indirectly na kuni push nichukue hatua ngumu, baada ya kuona kila chokochoko zake, mimi naamua kuzipuuzia, na kuingia gharama ya kukubali maumivu anayonisababishia.

Ikumbukwe chanzo cha mgogoro mzima ni mimi kufumania picha zake za uchi akiwa katika safari ya kikazi nikamhoji, akani temea shit, nikamchapa. Ila ndio hivyo anakomaa kuvunja ndoa.

Wakuu, na hayo tu.
NIwatakie mchana mwema
Huyo haijui dunia. Subiri kidogo tu atapauka atarudi anajigaragara.Nimeshaona wengi wanaondokaga kwa mbwembwe ila wakipigwa matukio hawataamini macho yao.
 
Hiiii 🙆‍♂️🤦‍♀️
Hao ni wajeuri pro max .
Kumbe ndio maana ?!
Lakini Hata wanawake wa makabila mengine wapo wakorofi hivyo hivyo na tamaa za mali na ushirikina.
Dah hata sio kabila ukikutana nalo la kukunyea linakunyea tu😂😂
 
Back
Top Bottom