Baada ya Wife kuniweka Lockup naona kama natengenezewa mazingira ya ku react nichukue hatua kali

Huo ndio uanaume mkuu. usi loose focus, huyo b*tch matokeo atayapata ni swala la muda tu.
 
Kipo kinachompa kiburii sio bure
 
Acha ujinga mzee, Ila unasapot mtoto wako kwenda kutombwa nje ya ndoa na kujipiga picha
 
Wazee wa busara wa humu jamvini kaeni na mwanaume mwenzenu mpeni ushauri anapitia wakati mgumu...wanaume wengi hawapendi ligi na majibizano ila wanavumilia maumivu kwa ndani hasa dharau toka kwa mwanamke..

Upo sahihi kabisa.
Wamsaidie avuke salama.
Kama sikosei amedai ni mwenyeji wa Nyanda za juu kusini, kama ni mnyakyusa wanaume wa kinyakyusa walio wengi huwa hawapendi vurugu na hekaheka.

Msaidieni mdogo wenu.
 
Umefanya uamuzi WA kiume Sana mkuu shikilia hapo hapo usije kurudi nyuma.

Anyways : Msiwege mnaoa
 
TALAKA!UNAOGOPA KUITOA!

MIMI NAITOA TENA KWA LOUD SPEAKER!

MWANAMKE AKISHAAMUA KWAMBA WEWE NI KIKARAGOSI CHAKE HAWEZI KUKUHESHIMU NA KUKUONA WA MAANA HATA SIKU MOJA!

HUYO SIO FUNGU LAKO NA MUNGU AMESHAKUONYESHA!

MWANAMKE ANAEKUAIBISHA MBELE ZA WATU ILI UWE DUNI NA MJINGA HAFAI KUPEWA NAFASI TENA!!!

VUNJA NDOA,WATOTO NI WA MUNGU!HALAFU SERIKALI HALAFU MWANAMKE HALAFU NDIO WEWE YAANI WEWE NI NAMBA NNE KWENYE UMILIKI WA WATOTO NDIO MAANA SISI HUWA TUNAPENDWA NA WALAU MTOTO MMOJA TU PEKEE AU HAKUNA KABISA!!

AMEGUNDUA UDHAIFU WAKO NI WATOTO NA ATATUMIA KUKUTESA SANA!!

Wanaume tunaojali sana watoto Huwa tunateswa Sana na Hawa viumbe!yaani wanatumia udhaifu kukuumiza!

Ukifanikiwa kwenye hilo TU itakusaidia!!
 
Nakufuatilia tokea mwanzo
Nashangaa watu wanajadili migongano yenu hawajadili kabisa kitendo cha huyo mtu kuvunja nyumba, huyo kwa hapa mlipofika hashindwi kukutumia vibaka wakukatishe uhai au kukutilia sumu, hatakiwi kujua mwenendo wako hata kidogo na siku mkikutana mahakamani nenda na gari nyeusi na uondoke na gari nyeupe na usibaki hilo eneo
Kuhusu watoto usiingie kwenye mjadala wowote unaohusu watoto na usitoe hata mia mpaka mwaka upite au kama una huruma sana miezi sita ipite bila kufanya chochote, hii ni kwa usalama wako kwanza
 
kikubwa pigania watoto wote wakubwa wawe mikononi mwako ....kuhusu mdogo kama yupo ,mahakama ikupe ikupangie visiting day na matumizi ,tafuta wakili anayejitambua
Familia za kimaskini hapo wameshapiga hesabu ya Nyumba kuuzwa wapate pesa, kwaiyo wanafanya kila wawezalo la kuwakera ndoa ivunjike, Ndo maana wanasema nyumba lazima iuzwe
 
Mimi n*aishi na mke wangu kidikiteta na maisha ya*asonga! Nyie wanaume matozi ndo hivyo mnaendeshwa na kyyumaa! Mimi ninavyotisha hata ukweni wananiogopa! Hii imenipa heshima nyumbani kwangu, mtaani hata kwenye mishemishe zangu! Siku hizi hakuna Wanaume! Kuna matoozii
 
New Single maza wa watoto wanne kitaani!

Ila lazima hiyo ndoa ilikuwa na hekaheka kibao kabla ya hilo tukio la kichapo!

Mwanamke kukubali kuwa single maza wa watoto wanne kirahisi vile siyo rahisi,tena kama ni below 40 ndiyo kabisa.

Hiyo picha ya uchi ni selfie au alikuwa na camera personnel?
 
Familia za kimaskini hapo wameshapiga hesabu ya Nyumba kuuzwa wapate pesa, kwaiyo wanafanya kila wawezalo la kuwakera ndoa ivunjike, Ndo maana wanasema nyumba lazima iuzwe
ndio msukumo wa nje ,binafsi najiendea mahakama ya mnyonge ...akitaka kupandwa tuu damu hiyo debe karibia lijae
 
Hakika nimeipenda huu ushauri wako mkuu,mleta mada auzingatie huenda akasalimika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…